Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha

Usiishie kukasifia tu. Unatakiwa ulinzi madhubuti wa Mungu na wazazi pia ili kumlinda dhidi ya wanaume mabaradhuli walioko huku duniani.
 
Jamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Kakianza kukupanikisha urudi kuja kutoa ushirikiano
 
Ndio nini unaniandikia hujakuwaga tu nakusonga mbele fuata yako acha hasira hii dunia ya wote chizi wewe na ukoo wako wote hata na uzao unaokuja wote
Halijabadilika kumbe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Na mauzi yako ya uwongo hahaha
 
Halijabadilika kumbe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Na mauzi yako ya uwongo hahaha
Inaelekea inakuuma ukiniona humu yaani unaishiwa nguvu ngoja nikupe glucose bi dada unywe ulitarajia uniuzi nikuache tu wewe nani hakuna kuogopana hapa hata kidogo
 
Glenn upo busy na wasichana humu na huoi hadi leo ndio maana nikakuuliza kama umeoa au unahela ndio maana unanguvu ya kusagia watu humu
 
Back
Top Bottom