makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hongera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Wee huyo sio mie. Mie suala la watoto halipo kabisaaa akilini. Siwezi kuwa baba miemzabzab ndugu yangu ht kutuambia.
Character zilizokuwa mentioned hapo Yani huyo Ni wewe kabisa mwanetu🤣🤣🤣 Wee huyo sio mie. Mie suala la watoto halipo kabisaaa akilini. Siwezi kuwa baba mie
Kwani mie ndio mwanaume pekee duniani ambaye anapenda mbususuCharacter zilizokuwa mentioned hapo Yani huyo Ni wewe kabisa mwanetu
Mtamloga
Nilikuwa nimelewa so sikumbukiHongera sana Kwa mafanikio hayo. Unaweza Kumbuka wakati mimba yake inatunga ulikuwa doggy au missionary?
Kakianza kukupanikisha urudi kuja kutoa ushirikianoJamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Ama nini hatari sanaKongole kwako... 2040 katakua kako sokoni tayari.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Halijabadilika kumbe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]Ndio nini unaniandikia hujakuwaga tu nakusonga mbele fuata yako acha hasira hii dunia ya wote chizi wewe na ukoo wako wote hata na uzao unaokuja wote
Liuzi la uwongo hili kama kawaida ake[emoji14][emoji14][emoji38][emoji1787][emoji1787]Kwani si umeolewa lakini?[emoji16]
Wala hana hizooKakianza kukupanikisha urudi kuja kutoa ushirikiano
Inaelekea inakuuma ukiniona humu yaani unaishiwa nguvu ngoja nikupe glucose bi dada unywe ulitarajia uniuzi nikuache tu wewe nani hakuna kuogopana hapa hata kidogoHalijabadilika kumbe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Na mauzi yako ya uwongo hahaha
Shida za walimwengu haipunguzi kitu hataLiuzi la uwongo hili kama kawaida ake[emoji14][emoji14][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Nimuendee PM au hapahapa nifunguke kibishi..Unachelewa mkuu fanya fasta