Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Ni wa mme yupi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usichukie utamfanya binti yetu akose raha mlee vizuri kwenye misingi ya imani ili baadae awe mtoto mwema na mke mwema kwa mume wake.Hamna
Mkuu acha uchokozi kwa dada yetu Unique Flower.
Sawa katoto na mtotoWala hana hizoo
Ngoja nitafute pesa 18 years to come niwe fatakiJamani kabinti kangu kamekua hadi raha nawashirikisha kwa sababu mlinibezaga sana .
Eti katoto kazuri hakunaga kuitwaga mamy .
Nimeitwa mamy
Katoto kangu mwaya 😊😊😍😘
Kakue chimamy wangu mwaya.
Basi mamilo usichukulie serious Mungu mwema atakuongoza na kukuepusha na hilo.Mimi sio single maza hata kidogo nausiniwekee nuksi tafadhali .
Wewe ndio single father na utakuwa hivyo milele na milele hata uchinje kuku kivipi
Bora wewe unaejikubali big up sana ulee vizuri mtoto wako kwenye maadili mazuriWe single mothers hatuna muandiko wa hivyo![emoji58]
Daaah!Hongera sana Kwa mafanikio hayo. Unaweza Kumbuka wakati mimba yake inatunga ulikuwa doggy au missionary?
PapahapaNimuendee PM au hapahapa nifunguke kibishi..
🤣🤣🤣🤣🤣 Hapo Unawaza mumewe aliwezaje kuwa naeIla we lidemu ulikuwaga chizi fresh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu dada sijui sio mtanzania au elimu yake duni? Maana akiandika Sana ndio anazidi kuharibuSijaelewa unazungumzi past, present or future?
Ulielewa mantiki ya swali langu?
Dada wapo Wanaume wazuri tu sema wewe ujabahatika kuwa nao sio kila mwanaume ni mbaya Hilo litoe kwenye fikra zako itakusaidia Sana sometime mwanaume akawa mzuri au mbaya mwenye malengo na wewe au kukutumia tu kulingana na wewe ulivyoHumu jf kama kuna mtu kanigusa tu au kanipuliza kama puto aje
Nilisahau mkuu 😂😂😂vipi leo hatu log off ?
We acha tu...wanaume mnapitia mengi[emoji14][emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapo Unawaza mumewe aliwezaje kuwa nae
🤣🤣 Ndio hivyo Mrembo Wanaume tumeumbiwa mateso hiv best umeona huko mtandaoni kumechafuka nasikia binti mmoja wa ifm kagongwa kwasababu ya iphone vipi umesikia hiyo?We acha tu...wanaume mnapitia mengi[emoji14][emoji14]
Unahela??Papahapa
Wewe nimnafiki hadi Mungu akikuangalia anachoka walahiDada wapo Wanaume wazuri tu sema wewe ujabahatika kuwa nao sio kila mwanaume ni mbaya Hilo litoe kwenye fikra zako itakusaidia Sana sometime mwanaume akawa mzuri au mbaya mwenye malengo na wewe au kukutumia tu kulingana na wewe ulivyo
Tangu nimeanza kusoma michango yako, huu ndio umejaa hekima hasa huo mstari wa mwisho.Eh situmeoana kabisa ni ndoa ya kanisani juzi ndio tulifanya aniversary ya vimiaka kadhaa vya ndoa he so lovely, kind ,special but shida ipo kwa wanawake anapenda sana huyo mtu.
All in All sio unapata kila kitu kwa mwanaume ukijaliwa na kupendwa basi.
Hahaha kwa hiyo michango mingine ni pumba na mashudu sio?Tangu nimeanza kusoma michango yako, huu ndio umejaa hekima hasa huo mstari wa mwisho.
Ha ha ha huu UMEJAA hekima, sio kwamba mingine ni pumba.Hahaha kwa hiyo michango mingine ni pumba na mashudu sio?