Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

Status
Not open for further replies.
hapa ndo huwa nasema nina doubt juu ya uelewa wa watu wanaosomea ualimu,we umeambiwa ajira tr 15,na inakoma saa sita,saa mnacholalamika nini
 
hapa ndo huwa nasema nina doubt juu ya uelewa wa watu wanaosomea ualimu,we umeambiwa ajira tr 15,na inakoma saa sita,saa mnacholalamika nini
kama mtu anasup asitegemee kupata ajira kwa wale wa degree.
 

ungesnapshoot screen mkuu,anyway pamoja
 
Presha presha ya nini wakati tunaenda vijijiniiii
 
Heeehee! Miye wa hapahapa! Haendi mtu sitimbi!!

Dear Madam. Munkari

Popote ulipo kaa ukijua nakutafuta sana...

Nimekuchek kwa PM lakini naona siku hizi umeweka kufuli kule...nikajua nikija hapa Ofisini ya Walimu,ntakukuta...!

Cheers..!
 
Last edited by a moderator:
hapa ndo huwa nasema nina doubt juu ya uelewa wa watu wanaosomea ualimu,we umeambiwa ajira tr 15,na inakoma saa sita,saa mnacholalamika nini

what nonsense are you uttering my dear? Doubting for what? We all know and und understand the appropriate time of the release that to be exactly at the point of a new day. Its what we are made to believe. And its not a major issue for you doubt. Worse enough you are not a teacher. Why can't you leave my dearest teachers to do theirs and you do yours? Stop insulting your elders. To hell with you.
 
hapa ndo huwa nasema nina doubt juu ya uelewa wa watu wanaosomea ualimu,we umeambiwa ajira tr 15,na inakoma saa sita,saa mnacholalamika nini

kumbuka pia tar 15 ilianza saa 6
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…