Jamani Kibamia kitamu Asikwambie Mtu

Jamani Kibamia kitamu Asikwambie Mtu

Unabahati hufahamiki....... yani unaandika kabisa mambo yako ya ndani......kweli ni WWW.

Mbona nafahamika sana tuu, mie ni aka madam crash, wala haya sio mambo yangu ya ndani ni vijimambo tuu suijali best.
 
mh wengi wanaishi kwa mazoea tu ila bamia nzuri tu hasa ikikolezwa na vikoro bwezo muhimu inanoga sana

Umeona eehh yaani hapa hata paja la kuku silitamani mvele ya bamia mie nasonga kaugali kangu kalainiii kamotooo basi na bamia hilo aaaahhh tamujeee!!
 
Ahhhh napenda msuguano mie atiiiii bamia kuteleza tuuu haikwabgui kooo!!!! We enjoy tuuu

Hujapata mpishi wa bamia wewe utaomba chumvi na pilipili nakwambia iongezwe yaaani nakuhakikishia ukikutana na anayejua mapishi mbalimbali ya bamia hutakumbuka kula mihogo wala ndizi.
 
Kweli enzi zimefika mwanamke anajisifia umalaya hadharani namna hii?tena one nightstand
 
Wapenzi wa vibamia inaaminika ni wapenda kuruka ukuta. Bamia inakuwa rahisi kuingia

Aisee kumbe hta wewe ni mtaalamu wa kupika bamia eehh hongera, hope wako nae anafurahia mapishi yako au kila siku anakuaga anaenda shamba kuchimba mihogo na viazi vitamu? Kama ni hivo pole utakuwa unaibiwa
 
Kasinde cha ukubwa gani? Vina tofautiana

Bamia teketeke laini likikaangwa tuu laiva halihitaji maji wala, rojo yake sasa weehh
Bamia ni bamia halina ukubwa kama ukubwa papai yanavopishana kwa ukubwa loh
 
Last edited by a moderator:
Sijaolewa wala sina mume wala shida sina

aaaaaha, nimekumbukaaa! Wewe ndo yule wa crash za mahari eeeh! Teeeeh, umekutana na bamia ikakutendea haki, lolz
angalau sasa genye zimeisha, tangu mei mosi, siku kumi si haba.. Manake nyie single ladies (referring single ladies series) mnakaa na ugwadu mda mrefu.
 
Huyu si ndo yule anatongozana kwenye magari.. Mara leo range, kesho jaguar, mara lincolin..huwa nasema hapa jf tupo na wagonjwa ila hatujui tu..

Bora daktari umekuja ila udaktari wako unamashaka nao maana huna uhakika walilala wodini kwako kama ni wagonjwa au wamekuja kutazama wagonjwa heheheee pole daktari
 
Aisee kumbe hta wewe ni mtaalamu wa kupika bamia eehh hongera, hope wako nae anafurahia mapishi yako au kila siku anakuaga anaenda shamba kuchimba mihogo na viazi vitamu? Kama ni hivo pole utakuwa unaibiwa

Wewe Mnyamwezi mimi nilichanjia dodoki toka nimezaliwa. Nna size ya Punda.
 
Back
Top Bottom