Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mh wengi wanaishi kwa mazoea tu ila bamia nzuri tu hasa ikikolezwa na vikoro bwezo muhimu inanoga sana
Ahhhh napenda msuguano mie atiiiii bamia kuteleza tuuu haikwabgui kooo!!!! We enjoy tuuu
dada una guts..
duh!
Unabahati hufahamiki....... yani unaandika kabisa mambo yako ya ndani......kweli ni WWW.
Wapenzi wa vibamia inaaminika ni wapenda kuruka ukuta. Bamia inakuwa rahisi kuingia
Sijaolewa wala sina mume wala shida sina
Huyu si ndo yule anatongozana kwenye magari.. Mara leo range, kesho jaguar, mara lincolin..huwa nasema hapa jf tupo na wagonjwa ila hatujui tu..
Aisee kumbe hta wewe ni mtaalamu wa kupika bamia eehh hongera, hope wako nae anafurahia mapishi yako au kila siku anakuaga anaenda shamba kuchimba mihogo na viazi vitamu? Kama ni hivo pole utakuwa unaibiwa