Wapenzi wa vibamia inaaminika ni wapenda kuruka ukuta. Bamia inakuwa rahisi kuingia
blueblue.hata akilukwa ukuta kula ki2roho inapenda.c o mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapenzi wa vibamia inaaminika ni wapenda kuruka ukuta. Bamia inakuwa rahisi kuingia
du ni kweli mademu wengi wakikutana na vibamia huishia 0713Wapenzi wa vibamia inaaminika ni wapenda kuruka ukuta. Bamia inakuwa rahisi kuingia
Ahhhh napenda msuguano mie atiiiii bamia kuteleza tuuu haikwabgui kooo!!!! We enjoy tuuu
Fahamu kuwa kilichokupa utamu hapo si ukibamia, bali ufundi wa mwenye kibamia... Hii maana yake hivi, hata mwenye dushelele hogo la jagombe, kama si fundi, hamna kituHabari zenu wapendwa,
Hapa nilipo niko nje ya bongo safari flani hv ya kizushi, na safari hiyo niko huku tangu mei mosi, saa bana ile ninefika tuu hotelini si mnajua mambo yetu yale, daaah nikanasa tundu bovu. Sass ile kufika ground play looh!!! Kila mtu kavaa jezi za game heee kumbe mwenzangu yeye mkulima wa bamia bana daah!! Nikataka kitoka nje ya ground play na kujisemea bora kukutana na mkulima wa mihogo kuliko bamia. Ila nataka kunyanyu mguu nitoke ulingoni si akanikamata bega, akaniwekea ulingoni bamia ya chukuchuku akachanganya na nyanya chungu, japo nyanya chungu ni chungu ila ziliongeza utamu kwenye bamia. Sasa basi sijakaa sawa akaniwwkea bamia la rosti lililochanganywa na bilinganya viazi ulaya pilipili hoho vitunguu maji na saumu karoti daaah wakati nakula poshi hilo la tatu nikamuuliza umeoa? Upishi huu wa bamia umeutoa wapi? Alinijibu kwa poshi la nne ambapo aliweka kunde bamia la kukatakata slices akachanganya na maharage mabichi na akaunga na karanga nilipomaliza kula pishi la nne sikuongea zaidi ya kulala kwa kuvimbiwa.
Jamani nawaasa msipendw kuhukumu kitu kwa kukiangalia kwa nje tuu angalia utendaji maana mie hapa tangu mei mosi nakula bamia kila siku na wala halinikinai. Play ground swadakta!!!!
Fahamu kuwa kilichokupa utamu hapo si ukibamia, bali ufundi wa mwenye kibamia... Hii maana yake hivi, hata mwenye dushelele hogo la jagombe, kama si fundi, hamna kitu
Sina mume bana acha kunipakazia
Kweli enzi zimefika mwanamke anajisifia umalaya hadharani namna hii?tena one nightstand
Hao ni wanaume wanaojifanya au kuweka majina na ID nyingine za kike!
Mh! hizo siku zote lazima utoke na mimba make show ikinoga ile mihemuko inakushawishi jamaa acheze peku
Absolutely ..this is how African Lady supposed to behave
Inabidi nikutafute unatutia genye
hivi we una bamia au muhogo...........za siku
Mwenzake anaitwa Clara sijui yule.
Hiki kicheche kilikua kinakuja na story za kuwinda wenye Magari