Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fahamu kuwa kilichokupa utamu hapo si ukibamia, bali ufundi wa mwenye kibamia... Hii maana yake hivi, hata mwenye dushelele hogo la jagombe, kama si fundi, hamna kitu
Bamia juu, bamia idumu zaidi na izidi kutuongezea protein in nature hatuhitaji kwenda kwa mchina looh kitu asilia
Topic kama hizi lazima utoke chimboni, ni kweli bamia ina utelezi sana haina friction kwenye koo, najua umezoea kula mihogo ambayo lazima isindikizwe na kimiminika ili iweze kipita vizuriAhhhh napenda msuguano mie atiiiii bamia kuteleza tuuu haikwabgui kooo!!!! We enjoy tuuu
Japo sijaolewa pia sitafuti mume, niko poa maana crash wananisumbua mnoo
Hahahahaaaa uchokozi huo umeanza krashi bado zipo ni kuwa siziwakilishi tuu nimeamua kuzisimulia baharini nikienda beach nachora chini mchangaa huku nasimulia