Jamani kueni makini na hawa vijana wa forex

kama unafanya forex fanya wewe mwenyewe. siyo ya kumkabizi mtu. tena hawa vijana ndio kabisa usije kujaribu wanataka kutoboa haraka wanajikuta wanafeli kwa udanganyifu.
 
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hakuna bank ...πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…