Jamani kuna mtu yeyote humu anayekijua kitabu cha SATAAL KHABAR pamoja na matumizi yake kwa ujumla na nini kazi zake??

Jamani kuna mtu yeyote humu anayekijua kitabu cha SATAAL KHABAR pamoja na matumizi yake kwa ujumla na nini kazi zake??

Kinaitwa مجموعة ساعة والخبر ''Majmuu'at saat walkhabar''' kimatumbi "Makusanyo ya saa na taarifa"

Chenyewe kinazigawa nyakati za siku kwa mujibu wa mienendo ya nyota, jua, sayari na mwezi.

Kinatabiri yatakayojiri kwa mtu kwa kuzingatia jina lake na la mama yake mzazi, in correlation to events time, day, date and month.... na kutoa results.

Kwa ufupi ni Ushirikina uliotukuka...

Weka mbali na jamii.
Duuh!!
 
Kama cha majini ata mimi ntakitafuta.
Tafuta pesa tu Mkuu, achana nacho.
Screenshot_2021-02-27-22-37-05-1.png


Cover page
 
Mwenye kuuliza anataka kitabu au anaulizia matumizi yake. Maana viko vingi vya haina hiyo
mi nakata nijue nitakipata wapi kwanza pili namna ya kukitumia mpaka nipate majibu na hivo vingine ni vipi unavyovijua wewe bro tujuze basi.
 
Hicho ni chengine, Abuu Maashara kimetungwa na Jaafar Albalkhi; ni kikubwa kuliko saatulkhabar ambacho kimetungwa na Ibnul Arabiy.

Vyote ni uchawi tupu.
Sio uchawi. Ni maarifa. Kama ww unadharau maarifa ni sawa ila kitabu hakijaadikwa kwa kufunza uchawi. Wala kufwata uchawi. Acha kama itikadi yako hayruhusu kusoma elimu kama hio....
 
Sio uchawi. Ni maarifa. Kama ww unadharau maarifa ni sawa ila kitabu hakijaadikwa kwa kufunza uchawi. Wala kufwata uchawi. Acha kama itikadi yako hayruhusu kusoma elimu kama hio....
vipi nitajifunzaje ili mbaka nijue kukitumia mwenywe bro je unaweza kunifundisha?
 
vipi nitajifunzaje ili mbaka nijue kukitumia mwenywe bro je unaweza kunifundisha?
Nakushauri Kwanza anza kujifunza kuhusu imani yako na misingi yake. Ujue jinsi ya kumtumikia mwenyezimgu. Ndo utakapoelewa yicho kitaabu. Hadi ukijua lugha ya kiaraab na Tafsiri yake hutoweza kuelewa falsafa ya kitabu hicho .kama hujapitia na kuzielewa umuhimu wa hizo nguzo muhimu za imsni yako.
 
Hivi kuna mtu anavijua vitabu hivi?
Gadhari ya bibi
Gadhari ya babu?
Gadhari ya mjukuu
Nasikia ni vitabu vinavyofundisha uchawi na ni adimu sana kuvipata
 
Nakushauri Kwanza anza kujifunza kuhusu imani yako na misingi yake. Ujue jinsi ya kumtumikia mwenyezimgu. Ndo utakapoelewa yicho kitaabu. Hadi ukijua lugha ya kiaraab na Tafsiri yake hutoweza kuelewa falsafa ya kitabu hicho .kama hujapitia na kuzielewa umuhimu wa hizo nguzo muhimu za imsni yako.
hayo yote nayajua sheikh naitaji mwongozo kidogouwa namnaya kukitumiabasi
 
Hivi kuna mtu anavijua vitabu hivi?
Gadhari ya bibi
Gadhari ya babu?
Gadhari ya mjukuu
Nasikia ni vitabu vinavyofundisha uchawi na ni adimu sana kuvipata
mi namjua imam ghazal tu kitabu chake maarufkwa jina hilo hilo.
 
Hicho ni chengine, Abuu Maashara kimetungwa na Jaafar Albalkhi; ni kikubwa kuliko saatulkhabar ambacho kimetungwa na Ibnul Arabiy.

Vyote ni uchawi tupu.
Hivi unakijua kitabu kingine cha utabiri wanchotumia kama kina hawa shehe sharifu majini kwa kutabiri mfano mwanzo wa mwaka kuutabiri mwaka mzima na matukio yake ya ujumla yatakayotokea ndani ya mwaka huo,je huwa wanatumia vitabu gani kutabiri hivyo?
 
Back
Top Bottom