Kuishi na mwanaume anayejua mapenzi huwazi sex kila mara ila unawaza mume wako atarudi saa ngapi akupe utramu wa hali ya juu.
Kuna tofauti ya sex tu na haja zikatimizwa kibabe na ule utamu unajiachia hata nguvu yakushika zana huwezi kisa umezidiwa utram.
Maisha mazuri nikutimiziwa haja zako haswa ila kiutalaam. Kuna wanawake hawajawahi kufikishwa kileleni wao wanapewa tu kimoja viwili bila raha ninayoipata .
Stlye zote zina ujuzi mpaka mkienda kazini unawaza tu nani anampa utramu yaani nyie sio kupewa moto wakuunguza ila niutram unapewa raha ambayo unalizwa kwa utamu woteeee. Hadi raha. Humu mtu anaomba eti apate mtu nahuku nje wamejaa wakaka wanajua kazi zao wanajua kulima na kupalilia shamba lao vizuri.
Nimesema ni wadokeze why sipo humu napewa keki tram za utram za aina zote i love this man anajua shughuli yake.
Ngoja nikalale mie humu hamna nguvu zakiume . Na wala haisimami kwa ujasiri inasimama kwa wasi wasi . Kunyweni maji mengi, na mkalale
Jesus! Ni starehe ya kimwili, lakini!
Mi sifa miiiiingi! It's not that sweet! Muafrika ni ngozi ya, tako! Yote hii ni kusifia ngonolization! Afrika haiwezi, endelea,
Pale wenzetu(wazungu, ulaya, na, US, not Asians) wanapokua, wanawaza wadundulize pesa, kwa, mwaka, waende mbugani, kupanda milima,kuona wanyama, kununua dream car, Na hapo unakuta Dada wa, kizungu, kaachika, kachukua watoto,hatafuti bwana, anawaza kuweka maisha yake na watoto vzr,Mbongo, baada ya kula na Kushida, na kujamba, anachowaza ni kupigwa miti!
Starehe maskini ni ngono! Sex inautamu, wake, lakini ije baada, ya, kufanya makubwa, mengine,fikiria hapo ulipo, nje umepaki landcruizer mkonga, double cabin, umetoka church, ukaona, upite sokoni,kilo 50 mchele,maharage, mbuzi, mafuta ya, kula,
Ukawapelekea watoto yatima! Imagine hiyo satisfaction na Baraka tele utakazopata!
Baada ya, hapo! Washa ndinga, chukua katoto ka chuo! Au marioo wako, Kajifiche nako njiro Arusha, Bagamoyo, Zenj paje, ule raha za, dunia,
What a great adventure! Sasa, upo tu hapo kwenye ka ajira,salary chini ya 5M, usafiri public, unawaza, kukunwa tu 24/7/365, what a pitty