Jamani kuna wanaume watamu sana

Hahaaaaaaa, dada dalali wa Arusha katika one and two.
 
😂😂😂 sina neno..
Ila kuna watu wanateseka humu acha kabisa
 
Alisikika mkaka muuza kahawa kona za tandale
Cc: ephen_
 
Hii ni mchanganyo tu



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Kweli Africa inatakiwa itawaliwe tena na wazungu kama watu wenyewe ndio nyie mnawaza ngono kwanini watu wasikope na kuweka rehani rasilimali zetu
 
Jesus! Ni starehe ya kimwili, lakini!
Mi sifa miiiiingi! It's not that sweet! Muafrika ni ngozi ya, tako! Yote hii ni kusifia ngonolization! Afrika haiwezi, endelea,
Pale wenzetu(wazungu, ulaya, na, US, not Asians) wanapokua, wanawaza wadundulize pesa, kwa, mwaka, waende mbugani, kupanda milima,kuona wanyama, kununua dream car, Na hapo unakuta Dada wa, kizungu, kaachika, kachukua watoto,hatafuti bwana, anawaza kuweka maisha yake na watoto vzr,Mbongo, baada ya kula na Kushida, na kujamba, anachowaza ni kupigwa miti!
Starehe maskini ni ngono! Sex inautamu, wake, lakini ije baada, ya, kufanya makubwa, mengine,fikiria hapo ulipo, nje umepaki landcruizer mkonga, double cabin, umetoka church, ukaona, upite sokoni,kilo 50 mchele,maharage, mbuzi, mafuta ya, kula,
Ukawapelekea watoto yatima! Imagine hiyo satisfaction na Baraka tele utakazopata!
Baada ya, hapo! Washa ndinga, chukua katoto ka chuo! Au marioo wako, Kajifiche nako njiro Arusha, Bagamoyo, Zenj paje, ule raha za, dunia,
What a great adventure! Sasa, upo tu hapo kwenye ka ajira,salary chini ya 5M, usafiri public, unawaza, kukunwa tu 24/7/365, what a pitty
 
Huyu alipoteza simu Sasa kapata nyingine na amerudi kwa kishindo.
Dada Maua mimi nipo tayari kuyavumilia madudu utakayokuwa unabandika humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…