Jamani kuna wanaume watamu sana

w
wanaoleta uzi wa aina hii huwa wana stress sana hawafikagi kileleni wanasikiaga tu wakiendaga saluni
 
Mwanamke ni hisia tu ukiwa na hisia na jamaa aaah unaona utamu wote hata akiwa hana nguvu za kiume kwako utaona nyingi mno kama huna hisia naye hata bao moja akichukua masaa nane huwezi furahia
Hapa ni ushamba tu
 
Wanaoagaga jf huwa hawaondoki, ni attention tu huwa wanatafuta. Wanaoondoka husepa kimya kimya.
MBona unapumulia oxygen jamani huna amani nikiwa humu hii ni app tu. Kama wtsupp kila mtu anaburudika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…