JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Ukute mwenyewe yanakugalagaza unatafuta pa kutokea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha ujinga wewe mwanamke hapendwi bwana. Mwanamke ni wakugegeda tuu na kutuoa kule....ebu fanya kupitia ule uzi wa wanawake warembo duniani ujione ulivyo bwege kwa kusumbuliwwa na mbususu moja
Ah wee ujinga huo nimeacha. Sasa ni kula mbususu kwa raha bila stress alafu uzuri wenu bwana mwanaume akiwa straight to the point na mihela ipo mbususu unapewa tuuUkute mwenyewe yanakugalagaza unatafuta pa kutokea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
once beaten twice shy... Tunajifunza kutokana na makosa. Lesson learned ni kwamba love a woman at ur own perilMnavyojikutaga makomando kwenye keyboard sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Habarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA
Mkuupiga chini huyo mpuuzi vuta chuma nyingine.Nikisema niseme vyote navyo mtendea mnaweza nichapa,nitukana,nipiga au kujua nimelogwa
zaidi ya 500k ishakata tokea nimekuwa nae suprise za hapa na pale ni kama mvua kwake
nipo apa kazini naona nimebeba dunia nawaza nikimpotezea akikausha itakuwa na sina
ata mchepuko useme utanifariji sinaaaaa
bladfaken
Baya lipo.. kuna wakati KE akichukia huwa hasemi...Unaona mambo yanaanza kubadilika tu..Pole sana Mkuu. Time to move on haiwezekani KE aliyekuwa anakupenda sana ghafla tu abadilike huku ukiwa hujatenda baya lolote.
Baya lipo.. kuna wakati KE akichukia huwa hasemi...Unaona mambo yanaanza kubadilika tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanabahati ya kupendwa na hawapendeki
Yan wahuni apa huwa wananichanganya sana[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii kauli mimi pia inanishangaza unakuta mtu anaanza "nampenda sana na yeye ananipenda sana " alafu chini yake anaanza kulia kwamba hamuelewi mpenzi wake
Ni huzuni kwakweliKabisa aisee jamaa anateseka sana, lakini ndiyo dunia yetu ya mapenzi ilivyo.
Sasa Unauliza Umuacheje wakati jibu unalo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anakazwa sehemu huyo utakuja kulea watoto sio wako mzee Piga Chini hawa Viumbe wamejaa kibaaao na wengine hawana pa kwendaHabarini wadau na washauri wa JF
MI bhana kuna mdada nilimpenda sanaaa na yeye alinipenda sana kuna vitu vingi sana amevifanya nyumbani kwangu ingawa aliekuwa anampa pesa ya kununua hivyo vitu ni mimi sema alikuwa aanijiongeza anaangalia nini kimemss anaongezea.
Tumeenda vizuri kwa tumeishi kwa furaha saanaa gafla mambo yakaanza badilika baada ya mwenzi mmoja na nusu mawasiliano yakapungua kwa kasi ya 4g mara sms zikapungua kujibu hadi ajifikirie na ukimpigia hata ukimwambia may be i love u anajibu thansk nacho umia akiitaji chochote tokea kwangu nampa mapema kabisa kuna muda hata hajaniomba namwambia may be kasuke naona nywele zimechoka nampa 50k nafanya vitu vingi sanaaa juu yake.
Kinachoniuma ni kwamba hana muda na mimi na kwangu hataki kuja na swala la game ukiomba mpaka upewe ni kazi tena bao moja pia hayupo romantic si yule wa kutoa support ukiwa nae faraghaaa yupo tu.
Nisaidieni wadau nimwacheje mana naumia sana kuna muda naharibu hadi kazi kwasababu nakuwa namuwaza sanaaaaa.
KUPENDAA KUNAUMA SANAA