Nsame
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 478
- 123
mapenzi yao ni ya long distance mwanamke yupo dar mwanaume yupo shinyanga.... ndo maana yamekaa mda wote huo
Basi mshauri rafiki yako wafunge ndoa halafu hayo nengine watayajadili kama wanandoa. Coz kama ikifikia hatua wakaachana mtaanza kututuhumu wanaume tunapenda shake before use halafu tunatema.