Jamani mapenzi hujui, pesa huna unang'ang'aniza ndoa loh!

Jamani mapenzi hujui, pesa huna unang'ang'aniza ndoa loh!

Wewe uliyeleta hii mada umeolewa? leta suala la mahusiano yako na ww tuyajadili uclete ya wenzako tu! huyo shoga yako huenda akawa si mkweli ila tu kamchoka man wake na kama suala ni la kitandani tu aseme vizuri tupo vidume tunacheza masaa mawili bila off time

me sijaolewa mahusiaono yangu ni me na pesa ............. wanaume siwapendi kabisa
 
lakini wanajukwaa jueni kuwa the primary function of marriage is love (sex) na biblia inasema hiyo ndo zawadi toka kwa MUNGU kama mmoja haridhiki no happiness of love na ndo naogopa huyo mama asije kuniomba mchezo badaye huku anapete ya ndoa ni heri kutafuta mtu ambaye mnaendana fikra. kwa mfano mm na mpenz wangu tunaendana fikra coz wote tumeweka kugegedana ni jambo muhimu na tumelipatia nafasi ya kutosha na hakuna mzembe kati yetu na tukivimba kitandani tunavimba kweli hatuigizi mpaka kila mtu anasema sasa nimetosheka hata kama mapenzi yetu ni ya miezi ya likizo tu
 
Huyo mdada wa kumpelekea mwanaume picha za ngono ati kupata style ndio unaita wife material?
What is your definition of wife material? mimi binti wa hivo sioi kabisa, Ngono kati ya wapendanao ni ya kuenjoy wawili kwa ukimya, kutafuta position zenu wenyewe ambazo zitawafurahisha, in low light n polepole kwa emotions, sasa huyo mpenda kugegedwa anataka style za kwenye tv ndio unasema wife material? haha is this a joke miss chaga? leo nimeona nguvu kazi za taifa zaidi ya 20 zinamwaga less humu jamii forum, huyo rafiki yako namuongeza kwenye list ikiwezekana na wewe kwa kumuona mtu kama huyo kua wife material. Ati wanalazimisha, kulazimisha wapi sema binti hataki kumuachia msela, kulazimisha wewe binti hakutaki ati unamlilia anarudi hapo ni binti tu kaamua kubaki na ujinga ni wake mwenyewe, aende huko akagegedwe tuone kama ataridhika, ndio maana siku hizi kila nyumba kumi kuna talaka
 
siwez kukubishia coz bible inasema wengine mlizaliwa mkiwa matoashi (via vyako vya uzazi havina joto) but kama unafunction huwez kutamka lugha chafu ya kuwa hupend wanaume unless na wao hawakupend au ulishatendwa oprah winfrey ni mwanamke mwenye pesa kuliko wanawake wote duniani but mpaka amezeeka analilia kuwa na mume na hakubahatika kumpata na hakuwah sema anawachukia pesa nn? utakua ww hata ukawa bilionea still u need a man behind u ok?
 
siwez kukubishia coz bible inasema wengine mlizaliwa mkiwa matoashi (via vyako vya uzazi havina joto) but kama unafunction huwez kutamka lugha chafu ya kuwa hupend wanaume unless na wao hawakupend au ulishatendwa oprah winfrey ni mwanamke mwenye pesa kuliko wanawake wote duniani but mpaka amezeeka analilia kuwa na mume na hakubahatika kumpata na hakuwah sema anawachukia pesa nn? utakua ww hata ukawa bilionea still u need a man behind u ok?

That's right! Towashi neno jipya, hahahahaaa
 
Siku hizi karib kila picha ya xxxx ina kuliwa kabang je, huyo rafiki yako haogopi jamaa anweza kujifunza na hilo????? Au ndio hasa theme yenyewe in this case?????
 
Habari za holday wanajf! Hope mnaendelea vizuri na kazi zenu... naombeni ushauri wenu........
jamani mimi nina rafiki yangu kipenzi ambaye ananiwazisha sana kwa hali aliyo nayo maana hana furaha katika mahusuiano yake na jamaa yake ambaye wamekuwa wote kwa takribani miaka mitano na jamaa ni king'ang'anizi akitaka waachane jamaa hataki...
kama mjuavyo kila mtu anastarehe yake shoga yangu starehe yake mojawapo ni kugegedana sasa, tatizo jamaa hana mautundu kwa bed rafiki yangu kajitahidi kumfundisha jamaa hadi anamtafutia picha za X(PORNO) ili ajifunze mautundu kitandani lakini jamaa hafundishiki shoga yangu anajitahidi kumwelekeza jamaa wafanye style ambayo yeye ataridhika jamaa anakuwa mkali na huyo rafiki yangu ni mzuri kwa kweli anajiheshimu kiufupi ni (wife material) wanagombana kila mara jamaa kama haoni ndo kwanza. Sasa anapush wafunge ndoa huyo shoga yangu hana mzuka kabisa wa ndoa lakini kumwambia jamaa hawezi..... ila huyu mwanaume ni rigd habadiliki yani ni kero........

Ndugu upande wa KE wanamforce aolewe nae kwasababu jamaa anajipendekeza kwao sana sasa shoga anawaza hii ndoa atakayo funga na jamaa itakuwa na furaha kweli maana jamaa siku nyingine dude haisimami vizuri wanaweza wakaa hata miezi nane mpaka kumi hawafanya mapenzi jamaa yupo busy na wakikutana jamaa ndo kuishughulikia papuchi hajui. shoga yangu anakosa raha jamani......
Mimi binafsi nimemwambia shoga yangu aachane nae kwasababu hajaridhishwa na performance ya jamaa and the man he is too rigid afu hela yenyewe hana....angekuwa anahela kiukweli ningeshauri kitu kingine jamani...

Je wanajf mnalionaje hili naomba ushauri wenu ili niweze msaidia shoga yangu..............

kama jamaa hawezi embu mwambie anitafute, mimi nina kila kitu mpaka mkwanza. Huyo mtoto mzuri? Maana mimi mke wangu hana mzuka kabisa mimi mwenyewe natafuta mwenye mzuka kama mimi tukiamua kekesha tunakesha mpaka papuchi inachubuka.
 
Huyo mdada wa kumpelekea mwanaume picha za ngono ati kupata style ndio unaita wife material?
What is your definition of wife material? mimi binti wa hivo sioi kabisa, Ngono kati ya wapendanao ni ya kuenjoy wawili kwa ukimya, kutafuta position zenu wenyewe ambazo zitawafurahisha, in low light n polepole kwa emotions, sasa huyo mpenda kugegedwa anataka style za kwenye tv ndio unasema wife material? haha is this a joke miss chaga? leo nimeona nguvu kazi za taifa zaidi ya 20 zinamwaga less humu jamii forum, huyo rafiki yako namuongeza kwenye list ikiwezekana na wewe kwa kumuona mtu kama huyo kua wife material. Ati wanalazimisha, kulazimisha wapi sema binti hataki kumuachia msela, kulazimisha wewe binti hakutaki ati unamlilia anarudi hapo ni binti tu kaamua kubaki na ujinga ni wake mwenyewe, aende huko akagegedwe tuone kama ataridhika, ndio maana siku hizi kila nyumba kumi kuna talaka

hayo ni mawazo yako...... jambo unaweza ona dogo lakini likaja kuwa kubwa sana mbeleni..... na kumpeleka picha za x ni kwa sababu jamaaa siyo creative kabisa na aambiliki kila mtu ana raha yake lakini mtu kupenda kufanya mapenzi siyo kwamba awezi kuwa wife material
 
Habari za holday wanajf! Hope mnaendelea vizuri na kazi zenu... naombeni ushauri wenu........
jamani mimi nina rafiki yangu kipenzi ambaye ananiwazisha sana kwa hali aliyo nayo maana hana furaha katika mahusuiano yake na jamaa yake ambaye wamekuwa wote kwa takribani miaka mitano na jamaa ni king'ang'anizi akitaka waachane jamaa hataki...
kama mjuavyo kila mtu anastarehe yake shoga yangu starehe yake mojawapo ni kugegedana sasa, tatizo jamaa hana mautundu kwa bed rafiki yangu kajitahidi kumfundisha jamaa hadi anamtafutia picha za X(PORNO) ili ajifunze mautundu kitandani lakini jamaa hafundishiki shoga yangu anajitahidi kumwelekeza jamaa wafanye style ambayo yeye ataridhika jamaa anakuwa mkali na huyo rafiki yangu ni mzuri kwa kweli anajiheshimu kiufupi ni (wife material) wanagombana kila mara jamaa kama haoni ndo kwanza. Sasa anapush wafunge ndoa huyo shoga yangu hana mzuka kabisa wa ndoa lakini kumwambia jamaa hawezi..... ila huyu mwanaume ni rigd habadiliki yani ni kero........

Ndugu upande wa KE wanamforce aolewe nae kwasababu jamaa anajipendekeza kwao sana sasa shoga anawaza hii ndoa atakayo funga na jamaa itakuwa na furaha kweli maana jamaa siku nyingine dude haisimami vizuri wanaweza wakaa hata miezi nane mpaka kumi hawafanya mapenzi jamaa yupo busy na wakikutana jamaa ndo kuishughulikia papuchi hajui. shoga yangu anakosa raha jamani......
Mimi binafsi nimemwambia shoga yangu aachane nae kwasababu hajaridhishwa na performance ya jamaa and the man he is too rigid afu hela yenyewe hana....angekuwa anahela kiukweli ningeshauri kitu kingine jamani...

Je wanajf mnalionaje hili naomba ushauri wenu ili niweze msaidia shoga yangu..............
jamaa ni mchaga?
 
Siku hizi karib kila picha ya xxxx ina kuliwa kabang je, huyo rafiki yako haogopi jamaa anweza kujifunza na hilo????? Au ndio hasa theme yenyewe in this case?????

jamani apendi kuliwa kabaang wewe kuna video ni za family hazina hizo mambo ya vijana sana.....
 
lakini wanajukwaa jueni kuwa the primary function of marriage is love (sex) na biblia inasema hiyo ndo zawadi toka kwa MUNGU kama mmoja haridhiki no happiness of love na ndo naogopa huyo mama asije kuniomba mchezo badaye huku anapete ya ndoa ni heri kutafuta mtu ambaye mnaendana fikra. kwa mfano mm na mpenz wangu tunaendana fikra coz wote tumeweka kugegedana ni jambo muhimu na tumelipatia nafasi ya kutosha na hakuna mzembe kati yetu na tukivimba kitandani tunavimba kweli hatuigizi mpaka kila mtu anasema sasa nimetosheka hata kama mapenzi yetu ni ya miezi ya likizo tu

asante mkuu kwa kuelewa
 
Habari za holday wanajf! Hope mnaendelea vizuri na kazi zenu... naombeni ushauri wenu........
jamani mimi nina rafiki yangu kipenzi ambaye ananiwazisha sana kwa hali aliyo nayo maana hana furaha katika mahusuiano yake na jamaa yake ambaye wamekuwa wote kwa takribani miaka mitano na jamaa ni king'ang'anizi akitaka waachane jamaa hataki...
kama mjuavyo kila mtu anastarehe yake shoga yangu starehe yake mojawapo ni kugegedana sasa, tatizo jamaa hana mautundu kwa bed rafiki yangu kajitahidi kumfundisha jamaa hadi anamtafutia picha za X(PORNO) ili ajifunze mautundu kitandani lakini jamaa hafundishiki shoga yangu anajitahidi kumwelekeza jamaa wafanye style ambayo yeye ataridhika jamaa anakuwa mkali na huyo rafiki yangu ni mzuri kwa kweli anajiheshimu kiufupi ni (wife material) wanagombana kila mara jamaa kama haoni ndo kwanza. Sasa anapush wafunge ndoa huyo shoga yangu hana mzuka kabisa wa ndoa lakini kumwambia jamaa hawezi..... ila huyu mwanaume ni rigd habadiliki yani ni kero........

Ndugu upande wa KE wanamforce aolewe nae kwasababu jamaa anajipendekeza kwao sana sasa shoga anawaza hii ndoa atakayo funga na jamaa itakuwa na furaha kweli maana jamaa siku nyingine dude haisimami vizuri wanaweza wakaa hata miezi nane mpaka kumi hawafanya mapenzi jamaa yupo busy na wakikutana jamaa ndo kuishughulikia papuchi hajui. shoga yangu anakosa raha jamani......
Mimi binafsi nimemwambia shoga yangu aachane nae kwasababu hajaridhishwa na performance ya jamaa and the man he is too rigid afu hela yenyewe hana....angekuwa anahela kiukweli ningeshauri kitu kingine jamani...

Je wanajf mnalionaje hili naomba ushauri wenu ili niweze msaidia shoga yangu..............

innovation in ICT,haya mambo zamani ilikua ni siri sana,,,haya
 
Kama mahusiano hafurahii ndoa itakuwaje, bora amwambie tu ukweli kila mtu atafute usitaarabu wake, kuliko aolewe nae kesho ahangaike na mechi za nje.
 
kwanini asifanye ile syle ya mwanaume chini ke juu, ajirushe mpk aridhike? mhh!! ila mme mtu hachaguliwi lol
 
Back
Top Bottom