Jamani mimba yangu, msaada

Jamani mimba yangu, msaada

Status
Not open for further replies.
Kwanza ungenitaka Ushauri wangu kutumia dawa zangu ninazo ziweka hap wakati wewe una mimba Kitunguu saumu ukiwa una mimba inatakikan uwe muangalifu namna ya kukitumia kwake. kama ungelitumia kwenye chakula kwa

kukipika wakati wewe una mimba hakuna tatizo lakini inaonyesha wewe umekitumia kitunguu saumu kibichi tena kingi ndio maana kimekutowa damu . Ukiwa na mimba unaweza kukila kitunguu saumu kama punje zisizozidi zaidi ya 2 kwa

mlo mmoja yaani unaweza kula kitunguu saumu punje 2 asubuhi na punje 2 baada ya masaa 8 kupita na punje 2

wakati wewe unapo kwenda kulala sio kula punje zote 6 kwa wakati mmoja wakati wewe una mimba tenachanga. Umeandika kwa kiingereza soma hapa chini kuhus kitunguu Saumu:

Special Precautions & Warnings:

Pregnancy and breast-feeding: Garlic is LIKELY SAFE in pregnancy when taken in the amounts normally found in food. Garlic is POSSIBLY UNSAFEwhen used in medicinal amounts in pregnancy and breast-feeding.

There isn’t enough reliable information about the safety of using garlic on the skin if you are pregnant or breast-feeding. Stay on the safe side, and avoid use.

Mkuu hizi precautions ulizitoa toka awali?
 
Hali uliyokuwa nayo inaashiria kuwa mimba iko hatarini kutoka.

Unatakiwa kufanyiwa ultrasound ili kuona ujauzito uko kwenye hali gani.

Katika umri huo wa mimba njia ya msaada ni vidonge vya hormones za kuimarisha ujauzito.

Kitunguu swaumu ulichokula sio lazima kiwe sababu ya kubleed kwako. Inaweza kuwa ni coincidence tu.

Pole na kila la heri katika safari yako.

DR, Ultrasound ndio kipimo kinachoweza kudetect kama mimba imeharibika au la? za siku lakini?
 
Mkuu hizi precautions ulizitoa toka awali?
wewe inakuhusu kitu gani? Kwani mimi ndio niliye mwambia atumie kitunguu saumu? Si amekitumia kwa kuona Thread zangu acha maneno yako ya kejeli hapa kama huna maneno ya kuzungumza bora unyamaze ukianza kuleta maneno yako ya pumba na mimi nitakuletea maneno machafu zaidi ya hayo unaasemaje? Utakula Ban wewe chezea mimi.
 
Kwa kosa gani uni Report mimi Polisi? Mimi Mwenyewe ni Usalama wa Taifa. Sasa utaweza kum-Report Usalama wa Taifa? unataka nikupe namba yangu ya Polisi? ili ujuwe mimi ni nani hapo bongo? au kwa sababu ninajiita MziziMkavu nini ndio unaleta maneno yako ya pumba hapa?

Afande, kwani mapolisi mkikosea mnareportiwa wapi? au ndio inakuwa imekula kwetu?
 
Hali uliyokuwa nayo inaashiria kuwa mimba iko hatarini kutoka.

Unatakiwa kufanyiwa ultrasound ili kuona ujauzito uko kwenye hali gani.

Katika umri huo wa mimba njia ya msaada ni vidonge vya hormones za kuimarisha ujauzito.

Kitunguu swaumu ulichokula sio lazima kiwe sababu ya kubleed kwako. Inaweza kuwa ni coincidence tu.

Pole na kila la heri katika safari yako.
Afadhali ulivyomjibu huyu.@kukucd mimi sikumpa ushauri atumie Kitunguu Saumu mimi huwa simpi mtu dawa pasipo kujuwa kam ana mimb aau hana mimba. Yeye ameona Thread yangu kuhus faida ya kitunguu Saumu ameamuwa kukitumia pasipo na kutaka ushauri kwangu sasa hata kama akiumwa mimi kwangu inanihus kitu gani? asante kwa kujibu vizuri mkuu ZeMarcopolo
 
wewe inakuhusu kitu gani? Kwani mimi ndio niliye mwambia atumie kitunguu saumu? Si amekitumia kwa kuona Thread zangu acha maneno yako ya kejeli hapa kama huna maneno ya kuzungumza bora unyamaze ukianza kuleta maneno yako ya pumba na mimi nitakuletea maneno machafu zaidi ya hayo unaasemaje? Utakula Ban wewe chezea mimi.

Mkuu, mbona yanataka kuwa makubwa, basi samahani-mi nauliza tu, vipi kama watu wengi watafuata maelezo yako alafu wakapata madhara kama huyu dada? by the way bado haijathibitika kama ushauri wako ndio umesababisha matatizo sa sielewi kwa nini umekuwa mbogo.
 
Dada nakushauri nenda kariuki.kama umeenda hosptal za serikali basi ujue utampoteza huyo mtoto.

sipo dar mpendwa,nipo arusha lakin nafikiri hi hospital niliyopo ni nzur pia.
 
Afande, kwani mapolisi mkikosea mnareportiwa wapi? au ndio inakuwa imekula kwetu?
Utaweza kumshitaki Polisi wa Usalama wa Taifa wewe ? haya nenda kokote kanishitaki mimi Mzizimkavu. Labda unishitaki hapa kwa Moderator sio kituo cha Polisi hawa polisi wa vituoni wanawajuwa Polisi wa Usalama wa Taifa ni akina nani nchini hapo? chezea Usalama wa Taifa utakwenda ndani bila ya kwenda Mahakamani.
 
Pole sana mpendwa.hata mimi niwawahi kupata matatizo kamama hayo.kama umefika hosptal nina uhakika wata kusaidia.kama haijatoka huwa wanatoa vidonge aina mbili ni vidonge vya homon.
 
Afadhali ulivyomjibu huyu.@kukucd mimi sikumpa ushauri atumie Kitunguu Saumu mimi huwa simpi mtu dawa pasipo kujuwa kam ana mimb aau hana mimba. Yeye ameona Thread yangu kuhus faida ya kitunguu Saumu ameamuwa kukitumia pasipo na kutaka ushauri kwangu sasa hata kama akiumwa mimi kwangu inanihus kitu gani? asante kwa kujibu vizuri mkuu ZeMarcopolo

mhhhhhhhh mbona umekuwa mbogo MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Utaweza kumshitaki Polisi wa Usalama wa Taifa wewe ? haya nenda kokote kanishitaki mimi Mzizimkavu. Labda unishitaki hapa kwa Moderator sio kituo cha Polisi hawa polisi wa vituoni wanawajuwa Polisi wa Usalama wa Taifa ni akina nani nchini hapo? chezea Usalama wa Taifa utakwenda ndani bila ya kwenda Mahakamani.

Sawa Afande
Lakini umuhimu wa kutoa taarifa polisi uko pale pale, sababu kama wewe ni askari alafu unakuja kwenye mitandao huku kutangaza tiba haouni kama kuna umuhimu wa jeshi la polisi kuchunguza udaktari wako?

hasa ukizingatia namna unavyojaribu kujiweka mbali na hili tatizo wakati huyu dada kakutaja ni wewe ndio muhusika? au humu JF kuna MziziMkavu wangapi?
 
Mkuu, mbona yanataka kuwa makubwa, basi samahani-mi nauliza tu, vipi kama watu wengi watafuata maelezo yako alafu wakapata madhara kama huyu dada? by the way bado haijathibitika kama ushauri wako ndio umesababisha matatizo sa sielewi kwa nini umekuwa mbogo.

Hakuna hata mtu aliyefuata Ushauri wangu kisha kadhurika umeona jinsi alivyosema

huyu aliyeweka hii thread? amesema hivi ninanukuu
(Jamani mimba yangu!msaada)

hakusema kuwa mimi nimempa huo ushauri alitumia dawa ya kitunguu saumu kwa kuwa

aliona Thread yangu kuhusu faida ya kitunguu saumu sasa wewe unanilaumu kitu gani?

ninawapa ushauri wa bure badala ya kushukuru unaanza kuleta maneno yako ya

Pumba? kuna mtu ananilipa kwa ushauri wangu ninaotowa humu ndani ya Jamii forums?

Nimewasaidia wengi tu sitaki malipo yao wala shukrani zao ninachohitaji Anilipe ni

Mwenyeezi Mungu sihitaji Binadamu anilipe sisi binadamu hatuna shukran hata umfanyie

wema gani binadamu mwenzako atakulipa mabaya mlipaji ni mmoja naye ni Mwenyeezi

Mungu peke yake ndio ninaye mtegemea kunilipa sio bindamu aliye kuwa na kasoro tele tu.
 
Sawa Afande
Lakini umuhimu wa kutoa taarifa polisi uko pale pale, sababu kama wewe ni askari alafu unakuja kwenye mitandao huku kutangaza tiba haouni kama kuna umuhimu wa jeshi la polisi kuchunguza udaktari wako?

hasa ukizingatia namna unavyojaribu kujiweka mbali na hili tatizo wakati huyu dada kakutaja ni wewe ndio muhusika? au humu JF kuna MziziMkavu wangapi?
Nenda huko Polisi nimekuruhusu uende utakwenda lini huko Polisi?
 

Hakuna hata mtu aliyefuata Ushauri wangu kisha kadhurika umeona jinsi alivyosema

huyu aliyeweka hii thread? amesema hivi ninanukuu
(Jamani mimba yangu!msaada)

hakusema kuwa mimi nimempa huo ushauri alitumia dawa ya kitunguu saumu kwa kuwa

aliona Thread yangu kuhusu faida ya kitunguu saumu sasa wewe unanilaumu kitu gani?

ninawapa ushauri wa bure badala ya kushukuru unaanza kuleta maneno yako ya

Pumba? kuna mtu ananilipa kwa ushauri wangu ninaotowa humu ndani ya Jamii forums?

Nimewasaidia wengi tu sitaki malipo yao wala shukrani zao ninachohitaji Anilipe ni

Mwenyeezi Mungu sihitaji Binadamu anilipe sisi binadamu hatuna shukran hata umfanyie

wema gani binadamu mwenzako atakulipa mabaya mlipaji ni mmoja naye ni Mwenyeezi

Mungu peke yake ndio ninaye mtegemea kunilipa sio bindamu aliye kuwa na kasoro tele tu.

Mkuu, nachokiona ni kwamba hili swala mwisho wa siku litakuwa la kisheria zaidi,mimi kwa upeo wangu ninaona kuna uwezekano wa wewe kuwa responsible.

Japo siombei, lakini kama mimba ya huyu dada itaharibika unaweza kuwajibika kumlipa fidia, na adhabu nyingine ya/za ziada.

wapo wanasheria humu, watasaidia japo kwa level ya hapa jamvini.
 
Nenda huko Polisi nimekuruhusu uende utakwenda lini huko Polisi?
watetea haki za binaadamu na akina mama, mko wapiiiiiiii
Mimi siwezi kwenda polisi, sababu simfahamu huyu dada, lakini kama kunatatizo, walah nakuambia, baba wa mtoto hawezi kukuelewa mkuu.
 
mhhhhhhhh mbona umekuwa mbogo MziziMkavu
Bibie miss neddy Sijawa mbogo bibie huyu Mkuu.@Sangarara ananikwaza na kuniharibia siku yangu nitamshitakia kwa Bwana Mungu amuhukumu kwa sababu ananiharibia siku yangu ya leo ngojea nimsomee DUA:

Zaburi, Chapter 23


23:4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. AMEEN
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom