Jamani mjitahidi sana kutunza magari yenu

Jamani mjitahidi sana kutunza magari yenu

Hii ni diesel? Fault moja hapo inaonyesha kama vile ‘fundi Maiko’ alijaribu kufanya programming kwenye ecu.
Yeah ni diesel 3.0TDI,

Yes hiyo fault moja inaonekana walikosea kuprogram ecu.

Nazipenda sana gari za mzungu, kuna matatizo yapo straight forward.

Hapo kuna dtc ya maf sensor na intake air leak,

Hose linalotoka kwenye maf sensor lilikuwa halijachomekwa kwa hiyo hewa ikawa haipiti kwenye maf sensor ndio ikatrigger hiyo code.

No ngumu sana kukuta case kama hizo za leak kwenye Japanese, wajapan waliona wakiweka hivo itakuwa dhambi....
 
Nimeona hapo jinsi Christmas tree 🌲 inavyowaka taa za njano maana dash board yote ni taa Tu.

64 fault si mchezo aisee hata hivyo wamiliki wa hayo magari wanajiweza kiuchumi nahisi ningekuwa Mimi mida hii ningekuwa nakemea Tu mapepo

Hapo gari haijawashwa mkuu... ndio maana zinaonekana taa karibu zote.
 
Tehbteh teh
Mwiaho wa mwaka huu Majnga kila Kona
Hppo Service yake napata Ist Used
The moment ananipigia aliniuliza kama ninaexperience na Europeans Cars.

Nikamuambia ndio, namuuliza gari gani akawa anazunguka.

Mwisho akaniambia umeshawahi kutana na VW toureg hivi?

Kwenda nakuta Cayenne.

Mfano uchukue Cayenne 3.0TDI na Toureg 3.0TDI ukiziweka hapo 90% zinafanana, location na layout za fuse na relay ni zilezile, Battery, control units n.k.

Tofauti ni muonekano wa ndani na nje. Cayenne ukiiona tu unaona hii kweli ina premium look tofauti na toureg.
 
The moment ananipigia aliniuliza kama ninaexperience na Europeans Cars.

Nikamuambia ndio, namuuliza gari gani akawa anazunguka.

Mwisho akaniambia umeshawahi kutana na VW toureg hivi?

Kwenda nakuta Cayenne.

Mfano uchukue Cayenne 3.0TDI na Toureg 3.0TDI ukiziweka hapo 90% zinafanana, location na layout za fuse na relay ni zilezile, Battery, control units n.k.

Tofauti ni muonekano wa ndani na nje. Cayenne ukiiona tu unaona hii kweli ina premium look tofauti na toureg.
Mh hio gari mwenyewe niko nae hapa. Nashangaa katoka kuniuliza fundi wa umeme sasa hivi.
 
Hii limenikuta yaani nimejikuta natengeneza undugu na garage hili gari ni 🚮
Tena kama hizi za bei rahisi ambavyo vigezo mtu anawekea eti AC unaganda na gari inatembea.

Kimbia sana.

Kwanza biashara ya kununua gari ina matatizo, halafu mnapunguziana na muuzaji eti ukatengeneze wewe inabidi uwe makini sana.

Tulishanunua Swift inagonga ukikata corner, jamaa akakomalia ni CV joint. Mboja tulinunua driveshaft zote mbili.
 
Tena kama hizi za bei rahisi ambavyo vigezo mtu anawekea eti AC unaganda na gari inatembea.

Kimbia sana.

Kwanza biashara ya kununua gari ina matatizo, halafu mnapunguziana na muuzaji eti ukatengeneze wewe inabidi uwe makini sana.

Tulishanunua Swift inagonga ukikata corner, jamaa akakomalia ni CV joint. Mboja tulinunua driveshaft zote mbili.
Mimi hili nilienjoy safari tu ya kuitoa dar mpaka mkoani nilipo😃😃 baada ya apo ni kipigo tu😬😬 na tatizo ni grand car hata kusema uiuze unakosa mteja
Nishaiweka sokoni 16m alipatikana mmoja tu nae alichemka🚮🚮
Kwahio goma bado ninalo ila at least sahz limetulia
 
Hio gari sijui aliingia chaka wapi. Ilikuwa bomba kinoma

Gari haionekani kama imechoka hata mashine bado ipo kwenye order.

Kiukweli matatizo huwa yanaanza kidogo kidogo ukijichanganya yanakuwa makubwa.

Kuna jamaa ana Touran alinicheck mwezi wa 6, bahati mbaya hatukufanya kazi gari ilikuwa haipandi rpm.

Kaja kunicheck week mbili zilizopita, kanitajia msururu wa matatizo....
 
Back
Top Bottom