Jamani mjitahidi sana kutunza magari yenu

Mbona huku nje tunayo na hata haziharibiki zaidi ya kuipeleka mara moja kwa mwaka MOT na kama kuna adjustments ndogo ndogo ila kwa mtu muelewa au wakala wa gari uliyonayo
Kwa wakala wao ni ghali sana kwa hiyo hata local garage wanatengeneza vizuri tu
Tatizo ni mafundi wa huko ujuaji mwingi sana na sio mafundi tu kila mmoja ni mjuaji
Mkuu kama hakuna fundi wa maana bora unaingia gharama na kuipeleka Nairobi
 
Mbongo ana kaujinga anaweza akawa na gari nzuri tu,akawa amejipangia labda mwakani aiuze basi kuanzia hapo anapunguza matunzo ya hiyo sababu ataiuza na lengo aiuze ikiwa mbovu!
 
Mbongo ana kaujinga anaweza akawa na gari nzuri tu,akawa amejipangia labda mwakani aiuze basi kuanzia hapo anapunguza matunzo ya hiyo sababu ataiuza na lengo aiuze ikiwa mbovu!
wabongo ni hamnazo, ulaya watu wanatunza vitu ili waweze kuviuza wakivichoka.. maana hamna mtu atatoa pesa kununua kitu kibovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…