Jamani mnaingizaje hela kwa siku? Tupeane hiyo michongo

Jamani mnaingizaje hela kwa siku? Tupeane hiyo michongo

Mimi naamini silaha kubwa walionayo matajiri ni guts, bhaasi....hizi nyingine ni porojo tu
Acha tu, elimu ya darasani hana..kaishia la 7, sema janja janja Sana...Ana uelewa mkubwa Sana wa mambo mengi , sijui kama Kuna Jambo utamuuliza au connection akakosa njia

Sema sasa mtoto wake wa Kwanza (kwangu ni Dada) hana interest yeyote ya biashara, wakat mzee alipeleka nje mtoto aje asimamie kampun, kasoma fresh, karudi kala hamsini zake [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado sijatoboa,ila watu wasema" pesa wanazo masikini wa mtaani kwenu" hili ni fumbo ukiweza kulitegua utapata pesa nyingi tu,..... MO na bakharesa wameweza kutegua na ndio maana biashara zao wamewalenga watu masikini.mfano MO anauza juice ya ukwaju 300, lakini anatengeneza pesa mbaya,hauzi juice 5000, kwa maana matajiri hawanapesa za kumfanya akawa tajiri. tafakar CHUKUA hatuaa.......haki pesaaaaaaa,gwe gwe gwe
Kwa kweli NI fumbo.
 
"Do what you love do as you die" mj Demarco the writer of millionaire fast lane.
Mkubwa angalia market inapenda Nini sio wewe unapenda Nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hii kauli "angalia market inapenda nini sio wewe unapenda nini" ni fikirishi sana na ipo relevant sana kwa kila mwenye kufikiria mambo kwa kina..🙌
 
Mnamtolea vipi mfano mo!? Mo hajui shida naa haso hajwah kuish kitaa waliotoboa babu zake yeye anatumia tu
 
Hata kuendeleza tu pesa ni kipaji mkuu mwingne ukimuachia hapa million 50 baada ya miaka kumi utamkuta Hana hata Mia
Miaka kumi mingi mkuu, Miezi mitatu tu inakua imeshapukutika Yote,
 
Kama una eneo kubwa, lima bustani ya mboga mboga, kama mchicha, chinese, maboga, makunde, matembele

Wateja wako ni

Mama ntilie au hotelini, huwa wanachukua oda kubwa hawa,

Majumbani( individual)

Waranguzi

Magengeni

Etc.

Additional efforts hapo, ni wewe tu kuongeza dhamani ya mboga zako.

Kazi kwako mzee


Sent from my iPhone using JamiiForums
Good idea but usiwe mvivu

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Michongo mizuri na ya uhakika ipo kwenye kilimo.
 
ANACHOKITAKA MLETA MADA NA WANACHOJADILI WATU HAPA JAMVINI NI MASHARIKI NA MAGHARIBI


MLETAMADA HATAKI VITHEORY VYA KUPATA HELA MANA VIPO VINGI SANA NA BILA IMPLICATIONS HAVINA MAANA YOYOTE

"IDEAS DON'T MATTER"



TUNATAKA PRACTICALS ZAIDI MFANO :-

1. MTU ANAPIGA MICHONGO ONLINE NA KUINGIZA HELA YA ZIADA KWA SIKU (ATUAMBIE HAPA DETAILS ZA HUWO MCHONGO)

2. AFFILIATE PROGRAMS

etc



SO WENYE MICHONGO YA KUINGIZA KIPATO CHA ZIADA WATUSHIRIKISHE HAPA WASIONE TABU (TUSAIDIANE KUFIKIA MAENDELEO)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Comment yangu niloandika “Feb 2020”

Nashkuru Mungu leo “May 2022” niko mzima wa Afya

Kuna Siku nikitulia nitakuja niwape watu Ideas za kujiingizia kipato
 
Back
Top Bottom