Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Mzee baba maisha ya kuajiliwa nimeyachoka nataka nichukue maamuzi magumu kuajiliwa unaishia kupata hela ya kula tuuTatizo kubwa la watu mlioajiriwa mnataka kula kote kote, kwa stahili hiyo kutoboa ni ngumu sana.
Amua kufanya kitu kimoja, endelea kula mshahara au njoo mtaani upambane. Mbali na hivyo utaishia kupata hela ya kula tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app