Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua garama za uzalishaji mzeeNashangaa wajasiliamari wetu,unakuta anauza mfano mafuta ya Nazi 15000,kichupa kidogo,yaani Bei inazidi bidhaa ya hivyo hivyo kutoka china
Chukua fursa hapo sasa, jifunzi kitaalojia hapo. Mzeee ana degree ya mtaan na ndio real life, jifunze pata connection, jua wapi upite. Then utaja simama mwenyewe.Acha tu, elimu ya darasani hana..kaishia la 7, sema janja janja Sana...Ana uelewa mkubwa Sana wa mambo mengi , sijui kama Kuna Jambo utamuuliza au connection akakosa njia
Sema sasa mtoto wake wa Kwanza (kwangu ni Dada) hana interest yeyote ya biashara, wakat mzee alipeleka nje mtoto aje asimamie kampun, kasoma fresh, karudi kala hamsini zake [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
yap nitakubalivipiukiitwa kwenye fursa utakubali ? kumbuka ukiitwa kwenye fursa ww ndio fursa
Best yangu production kibongo bongo ina ukiritimba sana!..ndo maana wachache wanatoboa...
Yanga inaingiaje sasa hapa na wewe? acha upuuzi we jamaakajichanganya kiaje? au aliidhamini Yanga akafulia? au alianza hizi siasa uchwara za bongo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah kuwa na kiwanda cha sembe very easy
Acha tu, elimu ya darasani hana..kaishia la 7, sema janja janja Sana...Ana uelewa mkubwa Sana wa mambo mengi , sijui kama Kuna Jambo utamuuliza au connection akakosa njia
Sema sasa mtoto wake wa Kwanza (kwangu ni Dada) hana interest yeyote ya biashara, wakat mzee alipeleka nje mtoto aje asimamie kampun, kasoma fresh, karudi kala hamsini zake [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutanuka kunaendana na mfuko ulio nao kwa wakati huo , unatanuka taratibu..ukizidi uwezo wako tegemea lolote tu , mafanikio ya haraka au kuyumbaSasa kujitanua si ndo vizuri? Aliangukaje baada ya kujitanua? Wakati kila mfanyabiashara ana lengo la kutanuka zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya biashara ni tofauti sana na elimu ya darasani, wengi hawaelewi hilo na kuzani kuwa kufanya biashara unaitaji elimu ya darasani sio kweli. Ukiwa na elimu ya biashara utawaajili hao wa darasani kwa sababu wa darasani wameandaliwa kuwatumikia wenye elimu ya biasharaAcha tu, elimu ya darasani hana..kaishia la 7, sema janja janja Sana...Ana uelewa mkubwa Sana wa mambo mengi , sijui kama Kuna Jambo utamuuliza au connection akakosa njia
Sema sasa mtoto wake wa Kwanza (kwangu ni Dada) hana interest yeyote ya biashara, wakat mzee alipeleka nje mtoto aje asimamie kampun, kasoma fresh, karudi kala hamsini zake [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutanuka kwa haraka maana yake ni kuweka mtaji kwenye mashine au kitu cha kuzalishia ukakosa kabisa hela ya kuendeshea biashara kwa maana ya kuweza kununua mzigo wa kuzalishia mali hela imefungwa kwenye mashine na kukosa hela kuendesha biasharaKutanuka kunaendana na mfuko ulio nao kwa wakati huo , unatanuka taratibu..ukizidi uwezo wako tegemea lolote tu , mafanikio ya haraka au kuyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia Kwanza kwenye biashara pengine utaelewa , au Kama tayari uko kwenye biashara jaribu kufanyaKutanuka kwa haraka maana yake ni kuweka mtaji kwenye mashine au kitu cha kuzalishia ukakosa kabisa hela ya kuendeshea biashara kwa maana ya kuweza kununua mzigo wa kuzalishia mali hela imefungwa kwenye mashine na kukosa hela kuendesha biashara
hahaha kwani yanga haina wadhaminiYanga inaingiaje sasa hapa na wewe? acha upuuzi we jamaa
Aaaaah sasa mbona ulisema production bongo ukiritimba mwingi? Au kiwanda cha sembe hakifanyi production??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, labda ungesema mitaji ndo tatizo ungeeleweka. Ila production ni kitu kinalipa sana, talking from experience
Sent using Jamii Forums mobile app