Acha tu, elimu ya darasani hana..kaishia la 7, sema janja janja Sana...Ana uelewa mkubwa Sana wa mambo mengi , sijui kama Kuna Jambo utamuuliza au connection akakosa njia
Sema sasa mtoto wake wa Kwanza (kwangu ni Dada) hana interest yeyote ya biashara, wakat mzee alipeleka nje mtoto aje asimamie kampun, kasoma fresh, karudi kala hamsini zake [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli NI fumbo.Bado sijatoboa,ila watu wasema" pesa wanazo masikini wa mtaani kwenu" hili ni fumbo ukiweza kulitegua utapata pesa nyingi tu,..... MO na bakharesa wameweza kutegua na ndio maana biashara zao wamewalenga watu masikini.mfano MO anauza juice ya ukwaju 300, lakini anatengeneza pesa mbaya,hauzi juice 5000, kwa maana matajiri hawanapesa za kumfanya akawa tajiri. tafakar CHUKUA hatuaa.......haki pesaaaaaaa,gwe gwe gwe
"Do what you love do as you die" mj Demarco the writer of millionaire fast lane.Fanya kile unachokipenda saanaàaaa
kutokanancho utajikuta unaingiza pesa kiulaini
Kuonyesha msistizoKuna ulazima gani wa kuongea kwa sauti kubwa hivyo wakati wote tupo hapa hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii kauli "angalia market inapenda nini sio wewe unapenda nini" ni fikirishi sana na ipo relevant sana kwa kila mwenye kufikiria mambo kwa kina..🙌"Do what you love do as you die" mj Demarco the writer of millionaire fast lane.
Mkubwa angalia market inapenda Nini sio wewe unapenda Nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kuendeleza tu pesa ni kipaji mkuu mwingne ukimuachia hapa million 50 baada ya miaka kumi utamkuta Hana hata MiaMnamtolea vipi mfano mo!? Mo hajui shida naa haso hajwah kuish kitaa waliotoboa babu zake yeye anatumia tu
Miaka kumi mingi mkuu, Miezi mitatu tu inakua imeshapukutika Yote,Hata kuendeleza tu pesa ni kipaji mkuu mwingne ukimuachia hapa million 50 baada ya miaka kumi utamkuta Hana hata Mia
Good idea but usiwe mvivuKama una eneo kubwa, lima bustani ya mboga mboga, kama mchicha, chinese, maboga, makunde, matembele
Wateja wako ni
Mama ntilie au hotelini, huwa wanachukua oda kubwa hawa,
Majumbani( individual)
Waranguzi
Magengeni
Etc.
Additional efforts hapo, ni wewe tu kuongeza dhamani ya mboga zako.
Kazi kwako mzee
Sent from my iPhone using JamiiForums
Guys ndio nini mkuuMimi naamini silaha kubwa walionayo matajiri ni guts, bhaasi....hizi nyingine ni porojo tu
Vipi mzee baba, ulifanikiwa ?Mzee baba maisha ya kuajiliwa nimeyachoka nataka nichukue maamuzi magumu kuajiliwa unaishia kupata hela ya kula tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo mkoa gani?Mimi ni fundi magari naingiza pesa kupitia kazi hiyo karibu tupuge kazi
Hii ni Comment yangu niloandika “Feb 2020”ANACHOKITAKA MLETA MADA NA WANACHOJADILI WATU HAPA JAMVINI NI MASHARIKI NA MAGHARIBI
MLETAMADA HATAKI VITHEORY VYA KUPATA HELA MANA VIPO VINGI SANA NA BILA IMPLICATIONS HAVINA MAANA YOYOTE
"IDEAS DON'T MATTER"
TUNATAKA PRACTICALS ZAIDI MFANO :-
1. MTU ANAPIGA MICHONGO ONLINE NA KUINGIZA HELA YA ZIADA KWA SIKU (ATUAMBIE HAPA DETAILS ZA HUWO MCHONGO)
2. AFFILIATE PROGRAMS
etc
SO WENYE MICHONGO YA KUINGIZA KIPATO CHA ZIADA WATUSHIRIKISHE HAPA WASIONE TABU (TUSAIDIANE KUFIKIA MAENDELEO)
Sent using Jamii Forums mobile app