Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Aaaaagh nao wana mambo ya ajabu watataka nibaki pale pale na first year kufanya field ya mule mule chuo..Unaenda kuwaambia nn chuoni?
Kukaa chuo ni jau sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaagh nao wana mambo ya ajabu watataka nibaki pale pale na first year kufanya field ya mule mule chuo..Unaenda kuwaambia nn chuoni?
Muhimbili hiyo moja kwa moja 🤣🤣 daah chuo cha kichoko sana basi tuAaaaagh nao wana mambo ya ajabu watataka nibaki pale pale na first year kufanya field ya mule mule chuo..
Kukaa chuo ni jau sana aisee
Kaa kimya we mtotoKazini kwetu kuna kazi
Weh mie mzuriKumbe kibungo!
Mkuu si bora ingekua muhas hapo dasalam...Muhimbili hiyo moja kwa moja 🤣🤣 daah chuo cha kichoko sana basi tu
Mmmmh mzuri anajisifiagaaaa?Weh mie mzuri
UmesemaWeh mie mzuri
Hawajui ni picha za googleMh! Ila DP yako yamoto mkuu, yamkini ndio maana unatembelewa sana 😂😂
Aweke picha kama vp maana me nasema ni kibungoUmesema
DaahKazini kwetu kuna kazi
Ndio mie ni mzuri wa suraUmesema
Haha na bado sema dom mbona mashangazi yapo sema mengi yana ukimwi aseeMkuu si bora ingekua muhas hapo dasalam...
Nipo Dom huku kka ni hovyo kabisa
Wewe ni nyaniAweke picha kama vp maana me nasema ni kibungo
Atasema haupo serious ety 😂😂😂😂Aweke picha kama vp maana me nasema ni kibungo
Weka hapa pichaNdio mie ni mzuri wa sura
Nakazia 🔨Aweke picha hapa
Wewe hujisifii nikijiorganise weh huyu niliyemweka ni zeroo .Mmmmh mzuri anajisifiagaaaa?
Kama vp weka kapicha tuone