Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Kwa nn apimwe? Kila mtu na starehe yake muacheni jamanAma hakika unastaili kupimwa malinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn apimwe? Kila mtu na starehe yake muacheni jamanAma hakika unastaili kupimwa malinda
Duuuh ulivyoanza nikajua LGBT....
Binafsi sio shida kumsifia mwanaume mwenzako, ni bora umesema siri za kambi ili wanaume wajifunzeYani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Hvi umaarufu wa jf una faida zip?Huyu jamaa analazimisha sana kutafuta kiki humu Jamiiforums...niliwahi kumwambia kwenye thread fulani kuwa umaarufu wa JF huwa unakuja tu automatic sio kulazimisha
Inakuuma nn?One man down
[emoji2][emoji2]Astaghfirullah
We kula vichwa tu ndo maisha yako umechaguaSasa shoustiee mpe uthibitisho, kuwa mie sio kajike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We kula vichwa tu ndo maisha yako umechagua
Kila mtu na fantasy yakeeeHaki ya nani wanaume tunazidi kupungua.
Sasa itakuaje hapaYani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari