Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.

Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza

Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Aisee
 
Nlisema mimi. Kuwa huyu jamaa NDO BASI TENA. sasa amefikia hatua hawezi jificha.

Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.

Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza

Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Nli
 
Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.

Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza

Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
We ni wa kike au wa kiume?
 
Unaipoteza heshima uliyoijenga humu, tumezoea kukuona ukizozana na Waalimu na bata zako za 3 stars ila huko unapoenda sasa siko, muachie cocastic mamaa mwenye tashtiti zake mjini JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu, ndoa traamuu, nimetulia km sio mie vile, yaan nimepoaa had najiogopaaa.

Huyu mtoto wa mama mkwe sio kwa kunituliza huku, mie wa kupunguza heka heka kweliii?

Mkunyenge na uheshimiwee. Woiiiih.
 
Hakika!.

Ule uzi wako wa kutamani kuzaliwa mwanamke ulitoa red flags.

Huu unathibitisha kuwa wewe ni Bwabwa.

Yaani mwanaume unavutiwa na wanaume wenzako? Wewe itakuwa walikufukuza ualimu kwa sababu ya mambo ya kishoga..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Ubaya wa ile kitu utajitahidi kuficha ila mwisho wa siku utaamua liwalo na liwe refer member wa sauti sol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu zinauma mie, waja mna nini lakiniii??
 
"" Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa""

Kwahiyo umeji exclude, wewe sio mkaka?

#YNWA
 
Back
Top Bottom