Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #101
Mnataka uandishi upi manina nyieYaani nimeshangaa kweli aisee na mtoa mada uandishi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka uandishi upi manina nyieYaani nimeshangaa kweli aisee na mtoa mada uandishi wake
Sasa wananishambulia Kwa kunigeuza jinsia Dada angu [emoji25]Okay,amekusikia watajitahidi kuwa wasafi.
Binadamu wagumu sanaSasa wananishambulia Kwa kunigeuza jinsia Dada angu [emoji25]
Jinsia huwezi ibadili,sema kinachobadilika ni mfumo wa maishaSasa wananishambulia Kwa kunigeuza jinsia Dada angu [emoji25]
Wanaleta Udume wa kishamba kwenye usafi shenz zao, ndohao utaskia mwanaume unakulaje chipsi YaiBinadamu wagumu sana
Manina tena??? Andika uandishi wa kiume kaza bwana, unaandika kama Arafa, aisha au Nora.Mnataka uandishi upi manina nyie
Habari za siku bro! zaman tulikuwa tunajua mwanaume ukiwa msafi unanukia marashi unaonekana legelege. Lazima uonekane 'mgumu' nywele rafu shat unakunja mkono mmojaNipo kaka
Huyo ni mshamba pori kaka temana naeHabari za siku bro! zaman tulikuwa tunajua mwanaume ukiwa msafi unanukia marashi unaonekana legelege. Lazima uonekane 'mgumu' nywele rafu shat unakunja mkono mmoja
Wtf?Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Dodoma ndani ndani huko mashenziniHivi kijiji cha Mpwayungu kipo Mkoa na Wilaya gani?
Nauliza tu
WtfHapa sasa namwona james delicious kwenye ubora wake, nawaomba mkalitazame na hili...
Mwanzoni nami pia nilidhani ni wa kike. Nimeshtuka hapa mwishoni alivyomalizia, kimoyomoyo nikasema "mwenzetu amesha umaliza mwendo"Mmmh!! Mbona kama uandishi wa kike!!!
Au yungu ndio umeamua kuanza kupractice kile ulichokuwa unatamani?
Tafuta mke uoe. Kutafuna pisi kali sio sifa.Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari