Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
mpwayungu vipi tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi ona, ni mtazamo wangu.Kivipi??? Wapi hapo Kuna lugha ya mwanamke
Kama jinsi wanavyokupuuza wote kwenye uzi wako.usafi muhimu lakini wanaune hatufundishwi usafi sisi ni wasafi automatically ukishaoga tu tayari ni msafi na watu wengi wanaoga hata kama sio kila siku.mambo ya suruali nyeusi t shirt nyeupe ni uwongo ni ubishoo na ukike ukikeNimeshakupuuza
Unajichekesha chekesha ila tayari imethibitishwa wanakukaangaUkipendwa na wadada ko nishoga [emoji23][emoji23][emoji23], wanaume Kuna mda tunajifanya ukauzu wa kisenge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo ukiona mkaka kavaa viziro smart unachanganyikiwa?Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Hujielewi weweHuwezi ona, ni mtazamo wangu.
"Jamani, mwanaume msafi anavutia asikwambie mtu" [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ina sound kama vile naongea na shoga yangu Evelyn Salt
Nipo kakampwayungu vipi tena!
Unafata jinsia au ujumbe?Huu uzi ungeletwa na mwanamke ingekuwa bonge la Uzi, una point ila tu vile wewe Ni mwanaume
Ukiachana na muundo wa ujumbe wake ulivyosukwa kike.Huwezi ona, ni mtazamo wangu.
"Jamani, mwanaume msafi anavutia asikwambie mtu" 😅😅😅😅
Ina sound kama vile naongea na shoga yangu Evelyn Salt
Yaani nimeshangaa kweli aisee na mtoa mada uandishi wakeSio sisi best yangu anataka kuwa mwanamke
Kuna uzi wake mmoja alisema anatamani angekuwa mwanamkeUkiachana na muundo wa ujumbe wake ulivyosukwa kike.
Kitendo cha Kuonesha kuvaa nafsi ya kuvutiwa na wanaume wasafi.
Nafkiri ndipo tatizo lilipokolezwa kiasi cha watu kuanza kumtafsiri kuwa ni Shoga.