Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mteremko, kukwepa majukumu, kupenda virahisiHivi tatizo ni nini😀😀
Mpwayungu Village umejua kuniangusha sana mkuuHUU UNANDISHI MBONA KAMA UNA UMELEGEA KIASI FULANI?
Kuna member alisema kwenye Uzi wake mwngne Kua aliemvua ubingwa Ni ticha ...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa nimegundua siri ya kwa nini ulikuwa unawachukia sana walimu!! Madhara waliyokusababishia wakati ulipokuwa mwanafunzi ndiyo haya sasa!! Yameanza kuonekana hadharani.
Hapana mkuuDuuuh ulivyoanza nikajua LGBT....
NimeshakupuuzaZa asubuhi dada mpwayungu
Sio sisi best yangu anataka kuwa mwanamkeKabla sijafungua uzi nilijua mwanzisha thread atakuwa kati ya To yeye au Unique Flower nimeshangaa sana.
Tukirudi kwenye mada nakusapoti kabisa mkuu
@Tate Mkuu shida iko wp hapo, MIMI binafsi siwez hata kukaa na Rafik mchafu asiyeogaSasa nimegundua siri ya kwa nini ulikuwa unawachukia sana walimu!! Madhara waliyokusababishia wakati ulipokuwa mwanafunzi ndiyo haya sasa!! Yameanza kuonekana hadharani.
Nilikuwa nakuheshimu sanaSio sisi best yangu anataka kuwa mwanamke
Sio wewe mpenzi jamani kifaru endelea kunieshimuNilikuwa nakuheshimu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio wewe mpenzi jamani kifaru endelea kunieshimu
Glenn anaringa jua tu hiloUr missed mkuu
Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Dah! Basi nikutakie tu maisha mema katika hayo maisha yako mapya uliyo jichagulia mwenyewe.@Tate Mkuu shida iko wp hapo, MIMI binafsi siwez hata kukaa na Rafik mchafu asiyeoga
hv huyo cocastic ni mwanamke au mwanaume?Dah! Basi nikutakie tu maisha mema katika hayo maisha yako mapya uliyo jichagulia mwenyewe.
Jitahidi pia uwasiliane na huyu binti cocastic, ambaye ni mtetezi wenu humu jukwaani, ili akupe mwongozo wa namna bora ya kupambana dhidi ya unyanyapaa.
Huyu mihanyenye kaanza kupotea!Unaipoteza heshima uliyoijenga humu, tumezoea kukuona ukizozana na Waalimu na bata zako za 3 stars ila huko unapoenda sasa siko, muachie cocastic mamaa mwenye tashtiti zake mjini JF.