Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Nahisi harufu ya SAMADI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huu mwandiko umekaa kike kike?Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Unamaanisha waalimu wa kiume walimuharibu akiwa mdogo au?Sasa nimegundua siri ya kwa nini ulikuwa unawachukia sana walimu!! Madhara waliyokusababishia wakati ulipokuwa mwanafunzi ndiyo haya sasa!! Yameanza kuonekana hadharani.
Taifa linazidi kupoteza mbegu dah..!!!!Daah mtupe pole, kambi ya kiumeni inashambuliwa kila siku
Nahisi uchumi.Hivi tatizo ni nini[emoji3][emoji3]
Ndowapi apo, nipo apa Kwa mwalu...[emoji25]unaishi mpwayungu mtaa gani... Me nipo hapa kwa mama mwajuma[emoji23]...
...nimepanga kwa mama mwajuma... Yule muuza mawigi... Maarufu kwa jina la "mchumia siti"...yule mwenyekiti wa kikundi cha "mpwayungu sugar queens"... Mama ake mwajuma yule binti asiekosa kila shughuli...Ndowapi apo, nipo apa Kwa mwalu
Kumbe Mpayungu ni Mwanamke?😆😆Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.
Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza
Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
Mpwayungu umenikera sana na hii ni mara yangu ya Mwisho kuku quote.Kwamba unamsapot mwanaume mchafu si ndio?