Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Dah! Basi nikutakie tu maisha mema katika hayo maisha yako mapya uliyo jichagulia mwenyewe.

Jitahidi pia uwasiliane na huyu binti cocastic, ambaye ni mtetezi wenu humu jukwaani, ili akupe mwongozo wa namna bora ya kupambana dhidi ya unyanyapaa.
Mie ni Katibu Muenezi wa Alphabet Barani Africa.
Kadi zipo za kushato, km kuna wanachama wapyaa niletee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila waja mnayawezaaa.
 
Kutokana na taarifa za kiintelijensia! Na hii ni baada ya kushirikiana na taasisi nyeti za upepelezi duniani; nimethibitisha pasipo na shaka!
cocastic ni binti wa Kimatengo.
Ogopaa matapeliiii, hakuna anayejua mie nina kikojoleo gani, au nakojoa kwa kusimama au kwa kuchuchumaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huyo intelijensia yako kaa nayo upyaa.

Afu mbna tulisha kubaliana mie ni ALPHABET.
 
Jichanganye tu uje ulishwe donati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shogaa angu nilitaka nikuitee, utoe neno,
Maana wee usipotoa neno kunihusu, hapanaa badoo haijaeleweka.

Tatizo huwapii uthibitisho wa madai yako, ndo maana hawakuaminii, raha ya umbea uwe na evidence shostieee.

Unakwamaaa wapiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti
Screenshot_20230913-215814.png

Anayesema haya ni male asee, 😠😎
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shogaa angu nilitaka nikuitee, utoe neno,
Maana wee usipotoa neno kunihusu, hapanaa badoo haijaeleweka.

Tatizo huwapii uthibitisho wa madai yako, ndo maana hawakuaminii, raha ya umbea uwe na evidence shostieee.

Unakwamaaa wapiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tate Mkuu ajichanganye tu adhani wewe kajike 😁
 
Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa.

Sio mkaka unanuka mijasho all time halafu makwapa meusiii tiii sasa hapo utapataje pisi kali mmh. Ebu wakaka mjitahidi kuwa wasafi eti mnakera hata wauza mikaa na fund gereji hili linawahusu eti msijichetue hapa. Ukitoka kwenye kazi zako oga vzr pendeza

Wanaume wasafi wataendelea kuchukua wake zenu mpaka mkome mbona. Nawapenda wadada wote mnaonipenda Kwa usafi niliona ndio mana hapa kitaa natafuna pisi kali hatari
😒 Wtf
 
Mwanaume unapendeza ili ule pisi kali??? Hii haija kaa sawa, pendeza wewe kama wewe mkuu....
 
una anza kujishushia heshima yako mwenyewe kwa heshima uliyo ijenga miaka buku iliyopita hapa j forum
 
Mm nilijuwa baada ya ule Uzi wako kuomba mods waondoe na wafute nyuzi zako zote utakuwa na akili timamu kumbe si hvyo
 
Hakika!.

Ule uzi wako wa kutamani kuzaliwa mwanamke ulitoa red flags.

Huu unathibitisha kuwa wewe ni Bwabwa.

Yaani mwanaume unavutiwa na wanaume wenzako? Wewe itakuwa walikufukuza ualimu kwa sababu ya mambo ya kishoga..
Kama walimfukuza walifanya kosa sana, ushoga ni hisia so kila mtu anahisia zake si vzr kuingiliana kwenye mambo ya hisia ili mradi hakeri mtu
 
Mbona huwa unawatukana sana walimu.
Sasa kwa akili hizi si Bora hata Mwalimu wa Chekechea aisee..🚮🚮
 
Back
Top Bottom