Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

Duuuh ulivyoanza nikajua LGBT....
Binafsi sio shida kumsifia mwanaume mwenzako, ni bora umesema siri za kambi ili wanaume wajifunze
 
Huyu jamaa analazimisha sana kutafuta kiki humu Jamiiforums...niliwahi kumwambia kwenye thread fulani kuwa umaarufu wa JF huwa unakuja tu automatic sio kulazimisha
Hvi umaarufu wa jf una faida zip?
 
Sasa itakuaje hapa
 
Safi pesa tu hata ikitua kwenye kinyeshi inaokotwa. Mwanaume kupendeza ni matumizi mabaya ya muda. Ukiwa na pesa utakula sample kibao ambazo hao watanashati awafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…