Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

Safi tu nilitumia SCABOMA na sabuni ya tetesmol nilipona kabisa Hadi sa hivi nipo fresh
Sorry hiyo scaboma ni nini, ile hali uliokuwa unapitia ndio napitia sasa msaada kidogo kuhusu iyo kitu thanks
 
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
ebu weka hiyo picha ya mb** inayowasha tuone tunakusaidiaje
 
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
Hiyo hali kila mtu anayo kipindi hiki cha joto sio ugonjwa huo jua limeongezeka
 
Kwa
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
Kwa ninachokijua mwili unawasha kwa sababu mbali mbali kama
1.Matatizo ya figo
2.Cancer ( baadhi ya kansa hupelekea mwili kuwasha sana)
3.Maambukizi ya ngozi
4.Allergy
5. HIV
kama unaswali uliza hapa
 
Back
Top Bottom