Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.mapenzi ya JF yanaishia hapa hapa tu..
2&3.umeweka misemo mingi kama tulikuwa tunaelekea moro basi umeniacha chalinze
mimi nimekufa kwa huyu Heaven on earth nisaidieni
Najiamini ila pa kumuanza sasa c unajua hatujawahi ata salimiana
huyu alitoka mbeya hadi dar kumfata kimwana wa JF,baada ya kumalizana
nae akaaznisha thread,naona this time kahamisha mashambuliz kwa Smile
Ha haaaa,uwiiii mbavu zangu mie....jamani jf kiboko
ahahaaaaKhaaaa afu wakati namwaga radhi na wewe utamwaga! Maana nikivua magwanda yangu haya ya Usupamani ni balaa unajua!
Khaaa, mbona kila siku mashuhuda wanapost hapa kuwa wameshagegedana? Wengine hayaishii JF . . .
Hilo la mwisho mtafute Mzee Ruksa au Khadija Kopa atakufafanulia.
Ngoja nimtafute huyo Smile aje aje hapa atie neno!
nipo dear ila sina time na mambo haya ya wanaume mie...waaaai
Utafanyaje sasa na ndiyo imeshatokea tena sasa. Subiri wengine watakuja warembo kama yeye.haya bana, kila la heri kwenye mapenzi yenu.....roho inauma lakini no way out