Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Haina shida si unafanya kazi popote?Mie niko Dodoma
unaijua Bihawana Sekondari?Mie niko Dodoma
544Kama wangapi?
Niliuona huo uzihalafu akajifanya sina idea na hiyo biznez
Si bora angeleta hata uzi wa kuomba michongoHana mia kweli...si unaona sahivi anatafua mishe ya upishi
Inawezekana hata hii kazi ya upishi ni mtu unamuombea.We haya ya mtandaoni.
Yaache hapahapa mkuu.
Kuna mtu nilikuwa namuombea ushauri
Sivyo NimekasirikaKwahiyo unanichamba au?
Si ndio bhanaSi bora angeleta hata uzi wa kuomba michongo
Unapikiwa, unakula chakula ukishiba unakula mpishi......hadi rahaNipo single na Tafuta mpishi upo tayari? Naishi mwenyewe. Nipo Dar
DahNiliuona huo uzi
Na nikasoma baadhi ya comments nikauacha
Vibaya hivyo, fanya basi ajili yangu, ujira mzuriDar hapana.
Nimesema Dodoma
Akijibu hili vyema'' 🤝🤝✅ nitamfikiria piaUnaweza kusonga ugali wa wanafunzi ?
Kabisa mkuuUnapikiwa, unakula chakula ukishiba unakula mpishi......hadi raha