Jamani natafuta Mume

Huyu ni robot sio binadamu kama mtu anabisha afuatilie comments
 
We unazingua tu afu hauko serious
 

Niambie kwanza mashaka gani maana natamani kujua.
 
Anatafutwa mtu hapo...!Intelijensia yako uliyotumia ni ndogo sana...!Ilaa watakuja tu
 
Sawa ,,nmekuelewa ,,Ujue Mungu hamtupi mja wake .... Binadam wote tu Mali yake lkn Bimadamu wale wanaomtegemea zaidi ndo hufaidika naye zaidi.

Hiiii inamaana unaweza kua nawatoto watatu lkn mmoja tuu ndo ukampenda sana .lkn pia inatuonyesha kua ,, Mbali nawote kua wanaume Unapaswa uanze na upande uliopo wewe.....embu tupe kwanza nafasi sisi makada wenzako ..ukikosa ndo uende uko !!
Naamin hiii itakuondolea kero namigogoro isokua natija toka kwahao jamaa!!!.

Asikuambie mtu bana ,,oana namtu ambaye mnafanana had kiitikadi ,,utafurahia sana...Leo mnaamua mvae wote sare za chama[emoji8][emoji8][emoji8].

Here is my number let talk !!!.

011-7-812-653-03-12...
 
Mi wanawake wenye mdomo kama chuchunge siwapendi.
Habari tupo kitandani unaanza kunihadithia story za magufuli. Mi nataka huo ujinga
 
Mahaari unalipa kwa baba harafu ndio mimi na wewe tunaonana
 

Oooh haya wee
PM ipo likizo hivyo hakuna anayeweza kuniandikia lolote kwasasa.

Penpal naikumbuka ila kwa mimi ilikuwa urafiki tu sikufikiria lingine then.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…