Niiweke hapa hadharani?Pole jaribu kutarudisha
Mimi si PM mtu
Weka namba wanawake wengi michuma wataichukua wakupigie.
Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niiweke hapa hadharani?Pole jaribu kutarudisha
Mimi si PM mtu
Weka namba wanawake wengi michuma wataichukua wakupigie.
Itabidi mtu ajiuguze na maumivu kimya kimya.
Safi sanaa mambo ya kupangia lifestyl ni uzaman sanaaa
Kwa ujasir ulionao ndg yng Cocochanel sikutegemea hata sku moja kuwa ungekuja kuyanyenyekea mapenzi,mm mwenyewe natafuta mwanamke kwaajili ya kuanzisha nae maisha mapya,lakn kujiamini kwako Coco' huwa kunanipa mashaka sana!
Pia,nafikiria kuwa huenda umekuja kwaajili ya kuwatafuta wa2 ambao hawa-support movement za jembe na nyundo.Kama kweli upo serious naomba usome uzi wangu unasomeka hivi "Natafuta mke mwema" na kama utaridhika na vgezo nilivyoviainisha basi njoo pm,ila nahtaji mwanamke ambaye ameshamaliza kusoma...,siyo baada ya mwezi mmoja ataka kwenda masomoni!
Karibu sana Coco' if your serious and commited enough
Thank you!
Wa upande wa pili atapendeza zaidi ili wavunje glass na tv ndani ya nyumba vizuri.
Duuu, kumbe kweli Bashite anapakatwa...umeamua kuolewa kabisa? Ila Tanzania si inakataza ndoa za jinsia moja?
Kanajiamini nyuma ya key board Ila face to face mweupe kama karatasi tu
Umeeelogwa ww ,,by ney Wa mitego
Watu wasio julikana kazini
Iko'ivi chanel, mtu kupost picha feki ujue hayupo serious ama yupo kibiashara.
Hii inakuwa kama hadithi za kujaladia misponji, inakera kuja kutambua ukweli umelishwa tango pori baada ya kumvua mtu!
Tokelezea ulivyo, ili mtu atathimini mwenyewe majaaliwa ya M/Mungu kiroho safi bila kufekisha chochote.
Wewe mmoja umetangaza nia, lakini pm zaweza kufurika. Nawe sasa utawathamanisha hao wagombea binafsi kisha upige kura yako ya ndiyo kwa kuringa.
Ujue hakuna mtu mwenye sura mbaya duniani, kila sura lazima kuna mtu anaisorolea.
Sasa unapigia "dunia" ya gizani, halafu siku ya kukutana inakuwa lawama. Kadhia yote hiyo ya nini?
Kwani umesahau enzi za pen pal ilikuwaje? Ambapo watu walikuwa wanapata wenza kwa mapichapicha kama nilivyoeleza hapo juu.