cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
- Thread starter
-
- #141
pambana MUNGU Atakusaidia utapata MUME akukip BUSY.
Umeandika kwa utani lakini deep in you uko seriuz.
Kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha ni ile ya kuambiwa ebu panda araka araka nataka kulala mimi kesho nawahi kazini.
Hiyo hapo 0772 03* 703
Pole coco..wanaume wa jf hawataki ma single mama
Ha ha haaaaaaa
Kabisa na PM yangu niifunge huku ningekuwa nimeiachia nilipoandika haya..
Sasa na wangu wa milele nikuachie wewe umtafutie mke mwingine au?
Eeeeeh najua usipo ninukuuu unakosaga raha.. ila udai wetu kama kawa humu.
Aithee Ukimpata Unaempenda Nijulishe........!!!!!!
haaaaaa nkajua unakuja tuyajenge
Wee jamaa ni domo zenge na mpenda mteremko, utaolewa sasa oooh....
Sipati picha jinsi unavyoamua kunisaliti mchana kweupe peee.
Hakiyanai mungu anakuona Coco.
Pokea tu last mchumo.
Mwaaaaaaaa mwaaaaaaaa mwaaaaaaaa
Wekeni namba zenu za simu humo kwa matumizi mengine ya ofisi, hhahahahahaahaahhahahah.
Ona sasa hadi busu unakataaEeeeeeh labda unaongelea kukusaliti ukifikiri utakosa wa kupambana nae humu jukwaa letu bomba lile... nitajipa breki ya mudaaa mnimisi haswa haswa
Hiyo mwaaa mwaaa yako kaa nayo shaaaa😀
Ndio mbinu mpya ya kujitangaza mtandaoni sio!?
Kweli dunia lukumbalukumba!!!!!
Sijambo za siku nyingi ila njoo nikupeti peti hata usiku mmoja usahau shida.
Acha aibu sema tuu watakuja UVCCM,Binafsi naogopa damu ya mwanangu isije ingia hiyo virus
Bado bikra first question