cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
- Thread starter
- #141
pambana MUNGU Atakusaidia utapata MUME akukip BUSY.
Umeandika kwa utani lakini deep in you uko seriuz.
Ha ha haaaaaaa
Kabisa na PM yangu niifunge huku ningekuwa nimeiachia nilipoandika haya..
Sasa na wangu wa milele nikuachie wewe umtafutie mke mwingine au?
Eeeeeh najua usipo ninukuuu unakosaga raha.. ila udai wetu kama kawa humu.