Ah ok.....Ila utakuta sometimes mwenye nyumba ndogo jamaa akibembelezwa anabembelezeka but akija nyumbani habembelezeki. Anaanza kukunja ndita tangu kwenye kona. Mna vituko nyie!!!
umeolewa?
dont worry kamanda, you can say those a million timeSorry for offending you Sir!! Wont happen again
nimedandia treni kwa mbele, si unajua samaki wa villa park hawaliwi bila red label??Mkuu umesoma post zake kweli? Mimi nimeona kama ziko wazi au ni tatizo langu?
Mi huwa najishangalia tu. basi mimi nilidhani ni huyu wangu tu................. mpaka nilikuwa nawaza kupunguza manjonjo labda atakuwa hatamani tena............. lol!
nimedandia treni kwa mbele, si unajua samaki wa villa park hawaliwi bila red label??
Kale kamda kangu ka kupata ban kamekaribi, chupa ikfika nusu tu, balaa
duhumeolewa?
umeolewa?
Mkuu umesoma post zake kweli? Mimi nimeona kama ziko wazi au ni tatizo langu?
heheeeheheheeee... sasa mbona siri za ndani unaleta?? huwa hatusemi ya ndani, ni ya infii tu!!! haya wa zamani, utajiju!!!Zamani sana
Mh, sis'... sasa wanatafutia ban mwenzio,
huyo ntu anafaidi kweli aisee
yani nimekua tuu blaind tu sii it:mmph::mmph::mmph:Upo sahihi kabisa mkuu..... yaani huyu ACID haoni ma-experience?
heheeeheheheeee... sasa mbona siri za ndani unaleta?? huwa hatusemi ya ndani, ni ya infii tu!!! haya wa zamani, utajiju!!!
yani nimekua tuu blaind tu sii it:mmph::mmph::mmph:
hahaahahahaaaa... niko mwaka wa nane sasa kwenye ndoa... mashallah mazee!!! Nina vitoto kama timu ya voliboli, jinsi tulivyoendekeza hiyo nditosasa Ban ya nini mkuu? we cheza kwa step za kueleweka bwana, haina haja ya kumkanyaga mtu...................
na wewe tafuta wa kukufaidisha, ila sijui kama bado wapo huko mitaani au vipi. sisi wa zamani si unajua? kitchen party za chumbani........... siyo bar kama siku hizi
roja that!!!!sasa unanisingizia mkuu.............. wapi nimetoa siri za chumbani? najua mipaka yangu
hahaahahahaaaa... niko mwaka wa nane sasa kwenye ndoa... mashallah mazee!!! Nina vitoto kama timu ya voliboli, jinsi tulivyoendekeza hiyo ndito
roja that!!!!
Hahahahaha..........sina la kujitetea hapa.
The Finest naye mchakachuaji tu Roya... wewe tu peke yako u msafi karibu kiti hapa IPC
Unalala na mtu chumba kimoja tena na kitanda kimoja miezi mitatu haujapewa biolojia