Kama ni mjamzito its understandable...
3 months before delivery its forbidden to perform 'that' part of biology...
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah
By Barnaba THT.
Hivi kuna mapenzi ya hivi kweli au ni nyimbo tu?
Sijui kwa vile kesho ni sikukuu basi leo naiona kama ijmaa vile ah :sick::sick::sick::smow:
that in red sounds too sexy... Sorry for being explicit:A S 13:
Smile,
Hiyo miezi 3 ni kwa ushauri wa doctor, watu wa Marekani au Sangoma?
Mimi najua walau 40 days kama ni normal delivery ila hiyo 90days sijui inatokea wapi. Ila kwa uzoefu wangu hata 40days ni ngumu kutimiza!
DC hii ni kwa ushauri wa daktari na ni MUHIMU kuzingatia...
3 solid months before delivery and 3 solid months after delivery ili mtoto akue na afya nzuri...
Unajua Asprini alisoma shule moja iitwayo Matemboni wenyewe wanaita Matembonyi sule ya msingi na sekondari akasoma Kolila O level na A level Old Moshi sasa hajui tofauti ya kubembeleza na kuliwaza ah!!
Asprin:
Kubembeleza kimapenzi ni kule kudekeza
kuliwaza ni kutoa faraja pale ambapo mwenzio kaghafilika!!
matatizo matupu hayo.. huyo daktari ni mwanaume au mwanamke??? vetting imefanyika vizuri kweli?? maana waweza kuta jamaa anafaidi njuruu ya moto aiseeDC hii ni kwa ushauri wa daktari na ni MUHIMU kuzingatia...
3 solid months before delivery and 3 solid months after delivery ili mtoto akue na afya nzuri...
matatizo matupu hayo.. huyo daktari ni mwanaume au mwanamke??? vetting imefanyika vizuri kweli?? maana waweza kuta jamaa anafaidi njuruu ya moto aisee
Una prakitiko experience hiyo? Hebu kwanza wasiliana tena na huyo dokta wako usije ukaongeza members wa ISC bure!
Watu wanadunda hadi mwezi wa 9 na wanapumzika kama 30+ days. Au unataka kunikumbusha zile hadith za kubemenda watoto?
Kama huamini nambie nikutumie picha za watoto ambao hawakupata hiyo miezi 6 unayoongelea!
matatizo matupu hayo.. huyo daktari ni mwanaume au mwanamke??? vetting imefanyika vizuri kweli?? maana waweza kuta jamaa anafaidi njuruu ya moto aisee
Natamani nisome katikati ya mistari hapo, lakini bahati nzuri nimeshakuelewa.
Vipi, umerudi na Sangara kiduchu?
Mi nahisi sijamuelewa...
Unaweza kunisaidia kumuelewa kidogo Asprin..?!
Macho yangu hayawezi kusoma kati ya mstari...:thinking:
Mi nahisi sijamuelewa...
Unaweza kunisaidia kumuelewa kidogo Asprin..?!
Macho yangu hayawezi kusoma kati ya mstari...:thinking:
Hebu njoo huku chemba...mambo mengine watoto hawapaswi kuyasikia.
Posted via Mobile
Upo gest gani nakutafuta ivo Smiles:A S-frusty:
Eeeh...
Chairman...
Mweka hazina kaniambia eti uko busy usitafutwe...:mad2:
Braza ODM hawezi kukosea ila sasa sio wewe usintafute....hebu do ze nidiful halafu rudi hapa chap chap.....
Nakusubiri ujue.... Halafu umejifungia room gani? Posts via mobile ni mojawapo ya kiashirio kuwa wewe ni mwanachama wetu hai!
Do ze nidful...? Where? :confused2: