Anajishongondoa tu, kajipendekeza nikampiga chini! Hebu kagua PM yako hapo kwanza~
Mmmh Asprin umeanza kunidanganya mara hii?kila cku naona ukimpa smiles maua leo unasema kajipendekeza na mimi si utasema hivyo hivyo?au nicheck na Kaizer?
Aah usijali kabisa...taratibu tu utamzoea!
Ngoja mi nimalizane na the Pope kwanza...! :becky:
We have a major pendin issue...:becky:
hehehe U remember my vibes eeh:A S 103:
Nimefumbua mikono yangu tayari kwa mapokezi ya kumbatio! Umefika wapi? Nikutumie :car:????
I do very well,lkn itakulazimu kuja kny usaili
Wacha wee....!!!:mad2:
Afadhali kaizer amemtoa smiles tupate muda mrefu kidogo,mbona nimefika lkn sikuoni?
Duh! Naona ishakula kwangu mazima! Sijui nirudishe majeshi kwa my dear and darling Smile's avatar?
Malizana na Pope lkn jua huku nitakuhitaji kwa ushauri nasaha, na strategies za kwenda nae
Duh! Naona ishakula kwangu mazima! Sijui nirudishe majeshi kwa my dear and darling Smile's avatar?
Anytime my dear...
Jus go with ur eyes wide open! Maana mhazini huyu is not very reliable...
Duh! Naona ishakula kwangu mazima! Sijui nirudishe majeshi kwa my dear and darling Smile's avatar?
hahahahahahahah! sasa kama wivu wako huko juu hivyo nitaushusha na nini?usaili ni lazima isikute alisaidiwa,me and u only Smiles yuko na Kaizer
Mwaya smiles,hata mimi nilimshtuka si unajua wanasema kipya kinyemi?
Umechelewa :mad2:
The pope and I are extremely busy....
Umechelewa :mad2:
The pope and I are extremely busy....
You can say that again and again and again! Kaizer nimemwachia mtalaka wangu Smiles....ndio uzuri wa sheria yetu namba 3....Kizuri....?
You better put our Pope busy...otherwise he will put you busy! Thats what he was born for!
Mh haya maombi ya kumuombea mpenzi wako apigwe upofu yanatoka wapi tena,na mbona kama unamsingizia Kaizer wa watu maana sa hizi yuko busy na smiles,haya na wewe nimefika muda ckuoni au ndo taadhari nilizopewa na Smiles siyo?Ahaaa! Eee Mungu mpofushe Wiselady wangu mpenzi asiisome hii posti hapa chini! Kaizer kwanini unatumia pasiwedi yangu vibaya? Unataka kunigombanisha na Lady the Wise?
hommie itakuja kukucost hiyo....ohooo:shut-mouth: