Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kubembelezana. Njoo huku nikubembeleze!Mpaka hapa nimepoteza muelekeo ..mwongozo nini kinajadiliwa sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kubembelezana. Njoo huku nikubembeleze!Mpaka hapa nimepoteza muelekeo ..mwongozo nini kinajadiliwa sasa?
Dearest si unajua penzi halichagui,lkn kwa kuwa umeingilia kati wacha nichomoke na Roy maana Finest ni walewale Kimey bado namchunguza anaweza kuwa marriage material:A S thumbs_up:mhh dearest...ktk wanaume wote humu ndani ukamuona huyo mzee, hebu huko ucnitie aibu mie dadako! ruka na Kimey, Finest,Roy...au hujui uzee unaambukiza?
Nimeshakuchagua already for future use:A S thumbs_up:Ahsante mamie kwa kujali maslahi yangu! Hao wapwa wawili naangalia uweekano wa kukaa kama kamati waniachie mie!
Dearest si unajua penzi halichagui,lkn kwa kuwa umeingilia kati wacha nichomoke na Roy maana Finest ni walewale Kimey bado namchunguza anaweza kuwa marriage material:A S thumbs_up:
Vumilia tu mwanamke wa kwanza maana wachakachuaji wameshaivamia, hata MJ1 kashasahau thread yake inahusu nini!Mpaka hapa nimepoteza muelekeo ..mwongozo nini kinajadiliwa sasa?
Haswaaaaaaaaaaaaaaa!niko purposely kukamilisha mission niliyotumwa na kambi ya upinzani,na wewe nimekushtuka maana:dance::dance:Kwahiyo umeamua kuondoka na Mwenyekiti ili uweze kuidhinishwa haraka haraka bila kufuata procedures za chama
hahahahaha!sikukusudia kukutenda niliitwa na bosi wako:A S 103:We unajua ubaya ulontenda, na gharama ya gesti lazima unilipe!
mhh dearest...ktk wanaume wote humu ndani ukamuona huyo mzee, hebu huko ucnitie aibu mie dadako! ruka na Kimey, Finest,Roy...au hujui uzee unaambukiza?
Duh! Ishakula kwangu siyo?:A S 103::A S 103::A S 103:hahahahaha!sikukusudia kukutenda niliitwa na bosi wako:A S 103:
Duh! Ishakula kwangu siyo?:A S 103::A S 103::A S 103:
Haeleweki bwana labda niingie tuition
Hapana, ndio kwanza familia inakua. Mjukuu wangu bado hajafikia umri wa kuingia familia yenu (Tafadhali usimwambie mwenyekiti, atanifukuza uanachama):A S 103::A S 103::A S 103::A S 103:
FILL THE BLANKS:
wahenga walisema mtaka vyote kwa pupa......................
chelewa chelewa utakuta............................
Asprin akiwa na Eliza.......................
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah
By Barnaba THT.
Hivi kuna mapenzi ya hivi kweli au ni nyimbo tu?
Sijui kwa vile kesho ni sikukuu basi leo naiona kama ijmaa vile ah :sick::sick::sick::smow:
Heeee maskini...bado hakijaeleweka tu?? :confused2:
MAshairi mazito haya Acid......... Hiviiii........... kuna wenye hisia za kiukwelii kama zilizowekwa kwenye mashairi haya au ni kwa ajili ya kufurahisha mashabiki?? I wonderi am on a mood to enjoy, but nimebanwa kweli na kazi... tehn nawaza-wazaaa... naamua kupaste hii kitu toka kwa KCI na JOJO
Wish that I could have you in my space
Wish that I could kiss and caress your face
How is it that I love you and I don't even know U
Did you plant a seed inside of me, when you said hello
Hello darlin, hello sweetheart
She said I'm lost and I don't know my way around
Hello darlin, hello sweetheart
Can U please show me which way to go
She said please show me which way to go
If I changed my look would I have a chance
Or is that I'm used to only one night stands
My idea of romance was nothing more than a kiss in the wind
Never could understand anything about love
Till she said hello
Hello darlin, hello sweetheart
She said I'm lost and I don't know my way around
Hello darlin, hello sweetheart
Can U please show me which way to go
She said please show me which to go
Notice me right before your eyes
Wanting you hidden love by surprise
Left undone and I can't give up until were one
MAshairi mazito haya Acid......... Hiviiii........... kuna wenye hisia za kiukwelii kama zilizowekwa kwenye mashairi haya au ni kwa ajili ya kufurahisha mashabiki?? I wonder
hisia zipo ila lazima ziwe mutualMAshairi mazito haya Acid......... Hiviiii........... kuna wenye hisia za kiukwelii kama zilizowekwa kwenye mashairi haya au ni kwa ajili ya kufurahisha mashabiki?? I wonder