House4Sale Jamani nimebanwa sana. Nauza nyumba yangu.

House4Sale Jamani nimebanwa sana. Nauza nyumba yangu.

Luton4554

Member
Joined
Apr 25, 2019
Posts
67
Reaction score
99
Ipo Salasala
400m kutoka lami.
23*33 plot.
Vyumba 5 (3 self)
Vyoo 2 vya wageni (ndani na nje)


Bei maelewano.
Contact: 0693341234

1dad1637-9b5c-4881-a821-20cc0d107409.jpg
c8d4d506-a6f4-4214-96e1-d81fad056677.jpg
88726e16-3f63-4357-bc73-6d82a1a6d703.jpg
5cdcd73a-ad11-4bd8-a376-e8b344f26bf0.jpg
fb010cea-eb17-44cc-9c44-cb0ecc3e7113.jpg
 
Ni nyumba mmoja kwa nyuma iko kama ghorofa na vyumba viwili kama underground.
Sema basi bei ili ueleweke?

Mdau hapo juu kasema 20 mil umesema haitoshi. Yaani unataka wenyewe humu tukanyagane mpaka tufike hiyo bei unayoitaka.

Weka bei yako tuanze kuelewana. Nitatuma mtaalamu wa ujenzi kuja kuiangalia next week na kufanya analysis kama uko siriazi. Nina kibanda pia hiyo mitaa...
 
Sema basi bei ili ueleweke?

Mdau hapo juu kasema 20 mil umesema haitoshi. Yaani unataka wenyewe humu tukanyagane mpaka tufike hiyo bei unayoitaka.

Weka bei yako tuanze kuelewana. Nitatuma mtaalamu wa ujenzi kuja kuiangalia next week na kufanya analysis kama uko siriazi. Nina kibanda pia hiyo mitaa...

Sijasema haitoshi sijaandika hivyo. Kiwanja nilinunu mwaka jana January. Kiwanja nilinunu 23m. Kutokana na hiyo location. Nimeweka Number yangu hapo juu. Kama upo “siriazi” kama unavyosema feel free ku call. Ntakupa bei na umlete huyo mtu wako au watu wako wa ujenzi waje au aje. Ahsante
 
Sijasema haitoshi sijaandika hivyo. Kiwanja nilinunu mwaka jana January. Kiwanja nilinunu 23m. Kutokana na hiyo location. Nimeweka Number yangu hapo juu. Kama upo “siriazi” kama unavyosema feel free ku call. Ntakupa bei na umlete huyo mtu wako au watu wako wa ujenzi waje au aje. Ahsante
Umeona ukiweka bei hapa utakosa wa kumlalia?
 
Back
Top Bottom