Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh we jamaa una roho ngumu... We ungeuza kwa bei hiyo?Kula 20m mkuuu ukafanye yako
Weka beiDuh we jamaa una roho ngumu... We ungeuza kwa bei hiyo?
weka beiDuh we jamaa una roho ngumu... We ungeuza kwa bei hiyo?
Unadaiwa na benki? Huo mkopo uuze benki nyingine ili upate mda wakujipangaIpo Salasala
400m kutoka lami.
23*33 plot.
Vyumba 5 (3 self)
Vyoo 2 vya wageni (ndani na nje)
Bei maelewano.
Contact: 0693341234
View attachment 1170522View attachment 1170523View attachment 1170524View attachment 1170525View attachment 1170526
Sio roho ngumu we huoni uchumi walivoukalia wachacheDuh we jamaa una roho ngumu... We ungeuza kwa bei hiyo?
Ni nyumba mmoja kwa nyuma iko kama ghorofa na vyumba viwili kama underground.Sijaelewa mbona naona gorofa na nyumba ya kawaida ipi unayouza?
Sema basi bei ili ueleweke?Ni nyumba mmoja kwa nyuma iko kama ghorofa na vyumba viwili kama underground.
Sema basi bei ili ueleweke?
Mdau hapo juu kasema 20 mil umesema haitoshi. Yaani unataka wenyewe humu tukanyagane mpaka tufike hiyo bei unayoitaka.
Weka bei yako tuanze kuelewana. Nitatuma mtaalamu wa ujenzi kuja kuiangalia next week na kufanya analysis kama uko siriazi. Nina kibanda pia hiyo mitaa...
Duh we jamaa una roho ngumu... We ungeuza kwa bei hiyo?
Ipo Salasala
400m kutoka lami.
23*33 plot.
Vyumba 5 (3 self)
Vyoo 2 vya wageni (ndani na nje)
Bei maelewano.
Contact: 0693341234
View attachment 1170522View attachment 1170523View attachment 1170524View attachment 1170525View attachment 1170526
Kula 20m mkuuu ukafanye yako
Umeona ukiweka bei hapa utakosa wa kumlalia?Sijasema haitoshi sijaandika hivyo. Kiwanja nilinunu mwaka jana January. Kiwanja nilinunu 23m. Kutokana na hiyo location. Nimeweka Number yangu hapo juu. Kama upo “siriazi” kama unavyosema feel free ku call. Ntakupa bei na umlete huyo mtu wako au watu wako wa ujenzi waje au aje. Ahsante