rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 400M ni hela ya dharura kweli???..[emoji849][emoji849][emoji849]Umeona ukiweka bei hapa utakosa wa kumlalia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 400M ni hela ya dharura kweli???..[emoji849][emoji849][emoji849]Umeona ukiweka bei hapa utakosa wa kumlalia?
Umeona ukiweka bei hapa utakosa wa kumlalia?
Mkuu weka bei kwani nini shida?Ndiyo nimeweka Number hapo juu. Siku njema ... NB: sijawahi kumlalia mtu mimi sina hizo tabia chafu
Nadhani atakuwa dalali anatafuta cha juu. Kama bei ya kiwanja kaiweka kwanini ya nyumba iwe shida???Mkuu weka bei kwani nini shida?
Biashara hazipo hivyo.
Tuwekee bei tujue hatuna muda wa kwenda huko inbox wala nini.
Tutakucheki baada ya kuona bei hapa jukwaani.
Labda mikopo ndo inamfanya auze nyumba.Kwanini uchukulii mkopo na nyumba ukabaki nayo?
Oh kumbe anauza 400M? Bei reasonable kabisa hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 400M ni hela ya dharura kweli???..[emoji849][emoji849][emoji849]
Ukikubali Kulaliwa Utapasuka Uwe Kama PonoUmeona ukiweka bei hapa utakosa wa kumlalia?
Eehhhh mkopoooooKwanini uchukulii mkopo na nyumba ukabaki nayo?
Kwanini uchukulii mkopo na nyumba ukabaki nayo?
Nadhani atakuwa dalali anatafuta cha juu. Kama bei ya kiwanja kaiweka kwanini ya nyumba iwe shida???
Labda mikopo ndo inamfanya auze nyumba.
Hivi ni gorofa au kuna nyumba mbili zinazouzwa
Nadhani atakuwa dalali anatafuta cha juu. Kama bei ya kiwanja kaiweka kwanini ya nyumba iwe shida???
Nimependa hio, pole kaka naona kidogo ulitaka kupata hasira, kwenye mambo haya huitaji hasira kuwa mpole mtu akikukera hesabu mpaka kumi endelea unaweza kwa hasira ukamjibu mmoja ila ukamkwaza mwingine unajua tena Baniani Mbaya Kiatu chake Dawa.....Usije inbox. Numbe hiyo hapo juu nitafute uje uone nyumba na thamani yake ulete watu wa majengo na wizara pia kama you “siriaz” then tuongee bei. Hakuna tozo la kuangalia nyumba. Na maji ya kunywa ntakupa bure. Iko mwisho wa lami salasala karibu.
Nampa insight aliyesema anataka kununua nyumba kwa 20m. Mm siyo dalali nyumba ni yangu na ukija kuichek utanikuta na siku unalipia hela inakuja kwenye acc yangu. Acha kuongea kama huelewi! Siweki bei ili mtu achukue hapa atafte mteja kwa bei yake apate cha juu. Na pia kukwepa madalali na % yao. Next time don’t waste your precious minutes trying to satisfy others.
mkuu punguza jazba usijekosa mteja wa kununuaNyumba yangu nauza kwa uamuzi wangu iwe mikopo au nikagawe au nikupe au nitoke na mkeo its none of your business.
Eehhhh mkopooooo
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanichekesha sana