House4Sale Jamani nimebanwa sana. Nauza nyumba yangu.

House4Sale Jamani nimebanwa sana. Nauza nyumba yangu.

View attachment 1170768
Wewe huyuu ndo unataka niweke bei ununue nyumba yangu? [emoji23][emoji23][emoji23]. Kapambane na hayo matunda yako kwanza ukikua ndo uje kwenye uzi wangu ... stpd
sijaona sababu ya kudhalilisha mwenzio kiasi hki kisa tu amekuambia uweke bei, kuwa na hekima ni kitu cha muhim sana maishani.
 
Siyo dropouts tuu Brother. Wengi wana degree kabisa ila ndo hivyo our education system is pouring rubbish on streets. Atakuja hapa atatafta loop hole ili aweke comment yake apate like aridhike au aanzishe ubishi tuu. Tanzania is a Zombie Nation. I do believe that Miseducated person is more dangerous than Uneducated. Am young am in problems and urgently I want to sell my unfinished house yet mtu anakuja kufanya jokes. I stated text me or call nimeweka Number kabisa, nime expose my number kabisa kwa mtu serious na watu kadhaa wamenicheki already and Asanteni sana. Inakera inakasirisha. Kama nimekujibu vibaya am sorry. Kama umeweka Offer yako hata kama ni 10m asante kama inalipa ill reply na kama hailipi ill tell you. Sijafikisha 30yrs na population yetu vijana ni zaidi ya 1/2 ya watu wote Tanzania na I would like to say we are dumb. And we make jokes in life and anything that comes infront of us.
Mkuu inaonekana una stress sana maana si kwa malalamiko haya as if kuna watu hapa ndiyo wamechangia hayo matatizo yako jiangalie pia mtu yoyote akisoma tangazo lako inaonekana pia wewe hauko serious ni kama dalali tu
 
We una nyodo, kwan muuza matunda hawezi kuwa na ela yakununua uho uchafu wako kaka angu
Kwanza hilo bandiko halikua la kweli hata hiyo miti ya mipassion sina nimeshangaa sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Then, ingekuwa ndio ina maana muuza matunda hawezi kumake pesa ya kununua nyumba? Kichaa huyu muuzaji gani ana nyodo hivi
 
Nyumba haina hati na nimeambiwa it will take up to 3months kuipata na million 2. Mm nina dharura. Ila kama naweza kukopesheka kwingine kwa riba na nikapewa robo ya bei ya nyumba ill pay. Ni dharura ndo maana

Nmb wanakopesha kwa karatasi za mauziano sio lazima hati bos
Me ndg yako wa salasala na hapo kwako napajua vzr tu kama huna mkopo nenda nmb na karatasi za mauziano watakupa mkopo
 
50m vp boss
Mm sikutafuti privately matapeli wengi sana mjini mwingine ukiongea naye tu ashakupulizia dawa unakuwa zuzu unaanza kumtumia hela ya advance bila kujijua.
Say inafaa au haifai basi.
 
Yaani kuuza humu inataka roho ngumu sana they are not serious at all
Mtu hana hata mpango lakini comments zake sasa [emoji23][emoji23]
 
Sijasema haitoshi sijaandika hivyo. Kiwanja nilinunu mwaka jana January. Kiwanja nilinunu 23m. Kutokana na hiyo location. Nimeweka Number yangu hapo juu. Kama upo “siriazi” kama unavyosema feel free ku call. Ntakupa bei na umlete huyo mtu wako au watu wako wa ujenzi waje au aje. Ahsante
Nimempigia huyu jamaa kwa ile number kasema 220Mil, nimeshindwa Mimi
 
Siyo dropouts tuu Brother. Wengi wana degree kabisa ila ndo hivyo our education system is pouring rubbish on streets. Atakuja hapa atatafta loop hole ili aweke comment yake apate like aridhike au aanzishe ubishi tuu. Tanzania is a Zombie Nation. I do believe that Miseducated person is more dangerous than Uneducated. Am young am in problems and urgently I want to sell my unfinished house yet mtu anakuja kufanya jokes. I stated text me or call nimeweka Number kabisa, nime expose my number kabisa kwa mtu serious na watu kadhaa wamenicheki already and Asanteni sana. Inakera inakasirisha. Kama nimekujibu vibaya am sorry. Kama umeweka Offer yako hata kama ni 10m asante kama inalipa ill reply na kama hailipi ill tell you. Sijafikisha 30yrs na population yetu vijana ni zaidi ya 1/2 ya watu wote Tanzania na I would like to say we are dumb. And we make jokes in life and anything that comes infront of us.
Hahahah nimekipenda kiinglishi chako. Dah!
 
Pole sana kwa matatizo unatopitia hadi kuamua kuuza nyumba. Hata hivyo ninatofautiana na wewe kuhusu kuweka bei. Kumbuka dalali kukupigia simu ili ajue bei yako then aitangaze ili apate cha juu hashindwi kwani ndio ajira yake hiyo. Hivyo huwezi kumkwepa dalali kwa njia hiyo. Pili ukiweka bei utapunguza usumbufu wa simu kutoka kwa wateja wengi ambao hawana hata robo ya bei unayouzia, utapata simu chache kutoka kwa watu serious ambao wanaweza kumudu bei yako labda mshindwane kwenye masuala mengine. Mf ukisikia nyumba inauzwa milioni 350, wewe mwenye milioni 15 huwezi kupiga simu ukitegemea pengine wanaweza kukupunguzia bei, ni dhahiri atakayepiga simu walau ana milioni 200.
 
Back
Top Bottom