House4Sale Jamani nimebanwa sana. Nauza nyumba yangu.

House4Sale Jamani nimebanwa sana. Nauza nyumba yangu.

Pole sana Mkuu lakini kama huna nyumba nyingine Mkuu usiuze jaribu kuangalia mkopo mdogo toka bank kama una title deed.
 
Acha ubishi weka bei yako watu wote waone..... Kuna haja ya mtu akitaka kuuza kitu aende kwanza asome customer service

IMG_4924.JPG

Wewe huyuu ndo unataka niweke bei ununue nyumba yangu? [emoji23][emoji23][emoji23]. Kapambane na hayo matunda yako kwanza ukikua ndo uje kwenye uzi wangu ... stpd
 
Nyumba haina hati na nimeambiwa it will take up to 3months kuipata na million 2. Mm nina dharura. Ila kama naweza kukopesheka kwingine kwa riba na nikapewa robo ya bei ya nyumba ill pay. Ni dharura ndo maana
Mkuu nenda kajaribu RADIANCE FINANCE fanya kama una google hilo jina upate contacts huenda ukapata mkopo.
 
Nampa insight aliyesema anataka kununua nyumba kwa 20m. Mm siyo dalali nyumba ni yangu na ukija kuichek utanikuta na siku unalipia hela inakuja kwenye acc yangu. Acha kuongea kama huelewi! Siweki bei ili mtu achukue hapa atafte mteja kwa bei yake apate cha juu. Na pia kukwepa madalali na % yao. Next time don’t waste your precious minutes trying to satisfy others.
Kukukuta na kuweka hela kwenye account yenye jina lako ndo justification ya umiliki wa nyumba? Weka bei hapa wewe dalali
 
Ndio muuza matunda na ww hamuwezi kununua nyumba yangu. [emoji3][emoji3][emoji3]. L

Alafu mimi siyo kaka yako. Sina dada anajiita cute na mina. Uchafu wangu umekufanya ufungue uzi wangu ukasoma na uka coment. Haya rudi Instagram na kesho huna bundle sijui utacoment vipi tena huku. [emoji16]
 
Back
Top Bottom