Mwanaume wa kweli unamtafuta kwa tochi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna wakubwa humu huwa wanasema 'wanaume tunapuputika kwa kasi sana'
Naanza kukubaliana nao
ndo ukome kwenda kwenye hayo madanguro bubu yalojificha kwenye kichaka cha saluni
Hata mimi sionekani??Mwanaume wa kweli unamtafuta kwa tochi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna wakubwa humu huwa wanasema 'wanaume tunapuputika kwa kasi sana'
Naanza kukubaliana nao
Mkuu uache " UMAMA"Witness shida ipo wapi mama
Ukweli mchungu mkuuChunga kauli boss
Sijakataa kuwa ni legal business but issue ipo kwa watoa huduma ambao wamegeuza kuwa sehemu ya kutoa huduma illegalBrooo hii ni Legal business
SawaUkweli mchungu mkuu
Sijakataa kuwa ni legal business but issue ipo kwa watoa huduma ambao wamegeuza kuwa sehemu ya kutoa huduma illegal
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanuse zile kucha zakeAisee shemeji yako anapika hapa,harafu na yeye ana makucha hayo kama Dragon,what are you trying to say?
Duh atakuwa alikuchefua sana
Hii tabia ya kufuga kucha wanayo wengi tuuMtu kakutana na nama mmoja mchafu, akafikri wamama wote ni wachafu. Pole yake.