Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Jamani nimekutana na hii Kadhia. Wanawake kuweni wasafi basiii Khaaaaah!

Ninadhani tuwe wakweli jamani. Kuhusu suala la usafi sisi bado sanaaaa. Maeneo mengi yanayotoa huduma za afya, chakula, na mapambo (kunyoa, kuchua, n.k) yana changamoto nyingi. Ukiachilia mbali umasikini ambao ndiyo kisingizio cha wengi, bado kuna suala la uelewa na kutojali.

Ukitaka kuthibitisha kuwa shida kubwa ni uelewa, tazama hizo saluni za "kisasa", utakuta kachumba kamepambwa haswa, wall papers zinakuzubaisha mpaka unasahau kijiji ulichotoka, viti vya kisasa na mambo kama hayo. Lakini, huwa ninajiuliza, hawa vijana wanaohudumu humo mbona hawavai gloves? Tena ziwe zile za kutumia kwa tukio moja na kutupa. Tazama huyo dada hapo kwenye post, si anaweza kumuambukiza mteja magojwa jamani? Pia, angevaa gloves, mteja asingehisi harufu ya mabaki ya chakula. Aidha, fikiria vile wanasigina uso wa mtu kwa mikono mitupu, hii si hatari kwao pamoja na wateja. Hapo usizungumze kuhusu vitaulo, mh!

Safari ni ndefu
 
You are so right boss
Ninadhani tuwe wakweli jamani. Kuhusu suala la usafi sisi bado sanaaaa. Maeneo mengi yanayotoa huduma za afya, chakula, na mapambo (kunyoa, kuchua, n.k) yana changamoto nyingi. Ukiachilia mbali umasikini ambao ndiyo kisingizio cha wengi, bado kuna suala la uelewa na kutojali.

Ukitaka kuthibitisha kuwa shida kubwa ni uelewa, tazama hizo saluni za "kisasa", utakuta kachumba kamepambwa haswa, wall papers zinakuzubaisha mpaka unasahau kijiji ulichotoka, viti vya kisasa na mambo kama hayo. Lakini, huwa ninajiuliza, hawa vijana wanaohudumu humo mbona hawavai gloves? Tena ziwe zile za kutumia kwa tukio moja na kutupa. Tazama huyo dada hapo kwenye post, si anaweza kumuambukiza mteja magojwa jamani? Pia, angevaa gloves, mteja asingehisi harufu ya mabaki ya chakula. Aidha, fikiria vile wanasigina uso wa mtu kwa mikono mitupu, hii si hatari kwao pamoja na wateja. Hapo usizungumze kuhusu vitaulo, mh!

Safari ni ndefu
 
Sipendi lingine nikishakatwa nywele zangu. Mengine nitafanyia nyumbani.
 
Sasa nimejisifia wapi Numbisa
Unatabia za kijames delicious sana Full kujisifia na kuja na nyuzi za kusimanga wanawake. Hope sio mtoto wa chupa wewe.
Mimi sijasimanga wanawake. Sijui ulitaka nipresent vipi hili suala
 
Back
Top Bottom