Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

Jamani nisaidieni, huyu dada nimempenda bure!

Unajuaje kama huyu Mbunge siyo Mke wa mtu?
Wewe hujampenda, sema umemtamani. Kupenda hakuji tu ghafla kama chafya, bali tamaa hujitokeza haraka.
Watu wengi mnatumia neno "kupenda" isivyostahili.
 
View attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.

Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.

Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Nnayo namba ya Bwana Job, nikupe?
 
View attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.

Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.

Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Huna lolite acha njaa
 
View attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.

Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.

Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
nend ufe
 
Back
Top Bottom