masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #101
Tena unaijua ile baridi yetu,Mzee wa Rungwe, fanya mpango wa kwenda Momba sio mbali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena unaijua ile baridi yetu,Mzee wa Rungwe, fanya mpango wa kwenda Momba sio mbali...
Kama ni viti maalumu nakushauri tumia kichwa kikubwa kufikilia, zinakuwaga ni offer izo
Mimi niko njiani kuelekea kwao sitanii brother! Wacha woote tutie nia wajumbe waamue! Sitaki utani mimi!Haloo tutapelekana mbali!
Mi nimewahi kutia nia hapo!!
Naomba unipmHata mm nampendaga....hahahaa
Ole shenji ng'wanike gashinaga ..hahahaa...si juzi tu tumechat...wasukuma bwan😶Naomba unipm
Ole shenji ng'wanike gashinaga ..hahahaa...si juzi tu tumechat...wasukuma bwan😶
Nnayo namba ya Bwana Job, nikupe?View attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Nirushie pm mzee.Nnayo namba ya Bwana Job, nikupe?
Huna lolite acha njaaView attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Atakaye wahi!Mimi niko njiani kuelekea kwao sitanii brother! Wacha woote tutie nia wajumbe waamue! Sitaki utani mimi!
Ndio narudi nikishafika huko mda sana!Atakaye wahi!
😆😆😆! Bila kuwa hivi mkuu mambo yangekuwa fyongo..nikubali tu wakili msomi😋Dominus Wangari katika ubora wako......
nend ufeView attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Hapo grid ya Taifa mkuuNaona wengi humu wamempenda huyu mbunge, basi nawaongezea mwingine Huo, cjui mnasemaje?
View attachment 1807086