Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Date of Birth : 1989-08-08Ana miaka mingapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Date of Birth : 1989-08-08Ana miaka mingapi ?
Yule mzee alikuwa na lake, haiwezekani jinsi alivokuwa amevaa mzee akamuona yeye tu
Best tafuta picha yake amevaa sketi ndefu baada ya kurudi Bungeni yaani ndio amekuwa Mcharo zaidi. Nakuombea ufanikiwe uoe kabisaHa ha ha!
Umeimalizia siku yangu!
Wapi Aziza Msuya!.Naona wengi humu wamempenda huyu mbunge, basi nawaongezea mwingine Huo, cjui mnasemaje?
View attachment 1807086
Huyo ni Catherine Magige, mwangalie vizuri.Wapi Aziza Msuya!.
Agrrrr.. Huyo na kina fatuma karume hawana tofautiNaona wengi humu wamempenda huyu mbunge, basi nawaongezea mwingine Huo, cjui mnasemaje?
View attachment 1807086
Kumbe dogo kabisaDate of Birth : 1989-08-08
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kweli anaonekana mstaarabu..Wangari mimi navyojijua nisingetoka nje! Never! Na angenishika mkono mtu ningemuuma[emoji19]!
Umasikini unitese na wengine wanitese? How
Ha ha !Best tafuta picha yake amevaa sketi ndefu baada ya kurudi Bungeni yaani ndio amekuwa Mcharo zaidi. Nakuombea ufanikiwe uoe kabisa
View attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Hujajiumba hivyo tulizana. Mapenzi hayana kanuni ndio maana unamuona maskini kaolewa na tajiri na kinyume chake.Ha ha !
Nitaenda ingalau Dodoma nimuone kwa kuibia!
Wasi wasiwangu ataniona nina masikio oversize!
Namwita Aziza aje amshughulikie mwizi WA mumewe.H
Huyo ni Catherine Magige, mwangalie vizuri.
Nimezisaka namba zake nimezikosa! Hapa najipanga niende kwa wazazi wake kabisaa akitoka bungeni wazazi wake wamjulishe nishapeleka posa! I'm serious! Asante kwa aliyemuibua tena nilikuwa na angalia live tbc!!View attachment 1805968
Jamani tuache utani, Miss Tanzania wangu nimempata.
Huyu dada nimempenda kwa jinsi alivyo.
Smile nzuri, kasuka vizuri, na ni mzuri.
Miondoko ya madaha, na anonekana binti wa heshima.
Aliyemwibua huko alikokuwa hajulikani namshukuru.
Mwenye contacts zake naomba anipatie.
Serious nimeitazama hii picha mara kadhaa nimeipenda, nimempenda
Namwita Aziza aje amshughulikie mwizi WA mumewe.
Huyu hapana , ni manufactured, siyo natural.Naona wengi humu wamempenda huyu mbunge, basi nawaongezea mwingine Huo, cjui mnasemaje?
View attachment 1807086
Haloo tutapelekana mbali!Nimezisaka namba zake nimezikosa! Hapa najipanga niende kwa wazazi wake kabisaa akitoka bungeni wazazi wake wamjulishe nishapeleka posa! I'm serious! Asante kwa aliyemuibua tena nilikuwa na angalia live tbc!!